WOWOWO
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 590
- 430
Niko kwenye Ofisi moja ya Serikali hapa Posta kuna jamaa anatoa stori kuwa Mbunge wa Wawi (CUF) Hamad Rashid na Mfanyabiashara mwenye kashfa lukuki Yusuph Manji wako mbioni kuanzisha kampuni ya Simu za mkononi ya Talk-tel. Jamaa anaeleza kuwa hata kwenye Kampuni ya Zantel Bw. Manji ana shares nyingi kuliko mtu yeyote.
Jamaa huyo ametoa taarifa nyingine iliyonishtua kwamba, Spika wa Bunge Anne Makinda ni makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Vodacom Tanzania!
I have no comment, any one with exclusive details on this.
Jamaa huyo ametoa taarifa nyingine iliyonishtua kwamba, Spika wa Bunge Anne Makinda ni makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Vodacom Tanzania!
I have no comment, any one with exclusive details on this.