hasan124
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 716
- 128
MHE. Hamad Rashid na wenzake Leo wako mahakamani kuisikiliza kesi Yao ya madai kwa chama cha CUF kukiuka amri ya mahakama. Habari za ndani zinadai kwamba CUF wamepanga kumkataa JAJI AGUSTINO SHANGWA ambaye ndiye aliyetoa court injunction kwa CUF.
Najiuliza, Kama Ni kweli watamkataa JAJI huyo sasa JE, wasi wasi wote huo Ni wa nini, Kama wao wapo sahihi na maamuzi Yao waliotoa?
Najiuliza, Kama Ni kweli watamkataa JAJI huyo sasa JE, wasi wasi wote huo Ni wa nini, Kama wao wapo sahihi na maamuzi Yao waliotoa?