Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Hamad ndie mwenyekiti mpya wa Umoja wa Vijana CCM, pengine huu ndio wakati muafaka wa kuweza kumjua vema mwenyekiti huyu mpya. Wasifu wake na historia yake, Je Umoja wa Vijana na Watz kwa ujumla wategemee nini kutoka kwa Hamad ambae ndio kwanza anaanza kupanda ngazi katika siasa za Tanzania.
Hamad ni mmoja wa Watz ambae yupo kwenye forums mbali mbali kwa muda mrefu sasa, nakumbuka kukutana nae katika Nyezi.com miaka ile, na baadae kwenye kijiwe cha youngafricans.com. Hata hivyo kwenye forums hizo hakuwa mchangiaji wa mada zaidi ya kuwa msomaji. Sina wasiwasi kuwa hata hapa yupo yupo...
Well, ni vema kumjua Mwenyekiti huyu, na Iwapo yupo tayali ni vema nae akajiunga katika mada hii na kutupa yake machache juu ya kazi yake hiyo mpya...!
Hamad ni mmoja wa Watz ambae yupo kwenye forums mbali mbali kwa muda mrefu sasa, nakumbuka kukutana nae katika Nyezi.com miaka ile, na baadae kwenye kijiwe cha youngafricans.com. Hata hivyo kwenye forums hizo hakuwa mchangiaji wa mada zaidi ya kuwa msomaji. Sina wasiwasi kuwa hata hapa yupo yupo...
Well, ni vema kumjua Mwenyekiti huyu, na Iwapo yupo tayali ni vema nae akajiunga katika mada hii na kutupa yake machache juu ya kazi yake hiyo mpya...!
Last edited: