Nimeingia kwa maamuzi binafsi,
naomba great thinkers mnipokee, pamoja tusaidiane tujenge taifa letu.
Ahahahahaaah papa Diana......mgeni karibu!!Karibu BCR! Jisikie uko nyumbani....wakuu wa kamati yamapokezi....kina Katavi et al wametoka kidogo, lakini muda si mrefu watarudi na kukukaribisha rasmi!
asl?