Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,735
- 39,836
sasa line inasoma 3g hio lte umeipata wapi? lte = 4g sio 3gTigo LTE ni uongo mtupu. Utakuta line inasoma 3G na iko slow kuliko. Mpango mzima ni Halotel. Sijui walikuwa wapi siku zote mpaka tukaibiwa na makampuni mengine