Sosthenes Maendeleo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 2,649
- 1,497
Halotel kiboko yao. Kahama na viunga vyake wanakimbiza sijawahi ona. Tigo wako nyuma sana kwa kahama ila baadhi ya maeneo ya dsm hasa chuoni mlimani wako poa kidogo. Halotel oyee!
Hizo bundle za halotel na price zake zimekaaje kwa anayejua?
Hivi laini za university huwa zinapatikana vyuoni tuuh??tafuta lain ya halotel za university ndo utafaidi
Ziko kibao mtaaniHivi laini za university huwa zinapatikana vyuoni tuuh??
Ahsante
Duu pole kwa hilo wenzako tunafaidi na halotel yetuKwa hapa kimara ninakoishi aisee halotel Inakera. Internet kila muda ni E tu siifaidi kabisa kila niwapo nyumbani
Me pia natumia halotel na naikubali ila kwa baadhi ya sehemu ni chengaDuu pole kwa hilo wenzako tunafaidi na halotel yetu
Uh, mimi nipo hapa kimara, dsm mitaa ya kuelekea bonyokwa, lkn network yao inasoma edge 'E'. Hii siyo mara ya kwanza naiona ila imekuwa hivyo tangu kitambo tu. Lakini nikiwa nje kidogo ya kimara network huwa ni H+ mara nyingi. Sasa sijui huku kimara kuna shida gani? Customer care tuambieni kulikoni huku kwetu?Hawa jamaa wakileta 4g si ndo itakuwa balaaa
Tigo LTE ni uongo mtupu. Utakuta line inasoma 3G na iko slow kuliko. Mpango mzima ni Halotel. Sijui walikuwa wapi siku zote mpaka tukaibiwa na makampuni mengineNatumia tigo LTE lakini haina tofauti na 3G ipo slow sana mchana na jioni.. Usiku sana alfajiri ndio i akuwa na speed kidogo.. Itabidi nijaribu halotell