Wakuu inaaminika ya kwamba watanzania wanaofanya kazi kwenye halmashauri zetu za miji na wilaya ndio wanaolipwa vizuri ukilinganisha na taasisi nyingine za serikali.
Kutokana na malipo kuwa mazuri ni vigumu sana kusikia kutoka kwa mfanyakazi wa halmashauri kuwa anatafuta kazi sehemu nyingine. Je kwa nini taasisi nyingine za serikali zisiige halmashauri zetu?
Kutokana na malipo kuwa mazuri ni vigumu sana kusikia kutoka kwa mfanyakazi wa halmashauri kuwa anatafuta kazi sehemu nyingine. Je kwa nini taasisi nyingine za serikali zisiige halmashauri zetu?