Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Siku hizi kuna kila jitihada za kuiga umagharibi hapa kwetu, hivi kuelekea weekend nimepata mialiko zaidi ya minne yote inahusu halloween, kuna party golden tulip, malaika(next to cine club), kempisk(level8) sijui na wapi na wapi hiyo jumamosib sasa swali linalobaki kichwani kwangu hivi lazima kuiga hivi vitu? Lakini bora ya hao kuliko hao wanaotafuta wasnii waliofulia huko kuja kutuletea hapa bongo, ati mtu kama Busta rhymes anafanya show dar jamani hata kama ni kutafuta urahisi hii sasa too much..tunaendesha used cars mnatuletea na used burudani hebu acheni hizo.