Mzitii mamlaka ndivyo Mungu alivyo amrisha. Ulipokubali kuwa raia wa Tanzania au kuja kuishi ktk ardhi ambayo ina mamlaka na kiongozi mkuu wa hiyo mamlaka ndio head of sovereign state ujue ulikubali kutawaliwa au mamlaka yako ulimkabidhi huyo mkuu wa hilo eneo na umekubali kumtii na kufuata matakwa yake kama mwakilishi wenu. Kimsingi hauko huru kwa kila kitu kama umekubali kuishi chini ya uongozi wa mamlaka fulani, kwa hivyo kuna mipaka ktk uhuru wetu.Not every human being fit the real definition of human being; and the number of human beings today,if any,that number itself is not real-Binadamu leo hii ni wachache sana na huenda hakuna kabisa.
Mtu unaridhika kulala ndani na familia yako huku mwenzako umemuweka jela kwasababu zisizoeleweka na wala nafsi haikusuti alafu kila siku uko kanisani /msikitini eti unaomba Mungu/unaomba uombewe!
Soon tutaacha hata kuzikana kutokana na aina hii ya sisiasa!
Mwenyemuzi Mungu ingilia kati.
Njaa zinakusumbua unahisi kila mtu yuko jf kutetea chama.Acha kudanganya wana JF hapa unless uwe huelewi maana ya "siasa !! "
Wasioshabia siasa na wanasiasa wako kwenye majukwaa tofauti na hili hasa huko Twitter, FB ama JF JOKES nk...
Sasa wewe unafanya nini kwenye jukwaa ambalo ni 100% mijadala yake ni pure poli:tiks and politicians !!??
Inaelekea hata hutambui kuwa uelekeo wa maisha yako ya kila siku huamuliwa na siasa na wanasiasa na kwa maana hiyo directly or indirectly hutakwepa kujadili ama kushiriki ktk siasa whether you like it or not !!
Kwa maelezo hayo, mimi nimepuuza ombi lako la "tuheshimiane" maana nadhani umelitema nje ya ufahamu wako wa kawaida !!!
Yaan ninapokuona kuwa we ni mnafiki ni pale unapoleta maneno yako yakutaka kutuaminisha kuwa serikali hii inafanya uonevu Kwa raia pale tu unapoona wapinzani wakishughulikiwa.Not every human being fit the real definition of human being; and the number of human beings today,if any,that number itself is not real-Binadamu leo hii ni wachache sana na huenda hakuna kabisa.
Mtu unaridhika kulala ndani na familia yako huku mwenzako umemuweka jela kwasababu zisizoeleweka na wala nafsi haikusuti alafu kila siku uko kanisani /msikitini eti unaomba Mungu/unaomba uombewe!
Soon tutaacha hata kuzikana kutokana na aina hii ya sisiasa!
Mwenyemuzi Mungu ingilia kati.
Dunia ingekau sehemu ya ajabu sana kama kila mtu angekua na mawazo kama yako au kufuata ushauri wako.Mpaka Ngosha akimaliza awamu zake za utawala.
Nawasihi wananchi wenzangu mcheze ngoma mkiangalia jua vinginevyo mtaumia zaidi.
Sina chama wala sihitaji siasa, huu ni ushauri wa bure nawapa.
Safi sanaSaafi sana, mamlaka za nchi lazima ziheshimike. Akitoka huko akili itakuwa imemkaa sawa. Hii ndio laana ya kumtukana Spika Ndugai, kakutana na kisiki Mzirankende.
Nenda kapambane mkuu sikuzuiiDunia ingekau sehemu ya ajabu sana kama kila mtu angekua na mawazo kama yako au kufuata ushauri wako.
Mpaka pale mtakapojifunza kuwa na nidhamu na adabu kwa viongozi wa nchi waliochaguliwa na watanzaniaHaya mambo Mpaka lini??
Mpaka pale mtakapojifunza kuwa na nidhamu na adabu kwa viongozi wa nchi waliochaguliwa na watanzaniaHaya mambo Mpaka lini??
mamlaka zinazoongozwa na Hamnazo lazima zitegemee na zitumie hovyo vyombo vya dolaSaafi sana, mamlaka za nchi lazima ziheshimike. Akitoka huko akili itakuwa imemkaa sawa. Hii ndio laana ya kumtukana Spika Ndugai, kakutana na kisiki Mzirankende.
Njaa zinakusumbua unahisi kila mtu yuko jf kutetea chama.
We fanya siasa mimi sifanyi siasa na sitetei mwanasiasa hata siku moja.
Vipi unakubali siasa za kistaarabu za Magufuli pia?Me huwa namkubali sana Zitto Kabwe na siasa zake zakistaarabu.
Hatukani wa kukejeli wakati huohuo ujumbe unawafikia walengwa
Wewe unatetea nini au wewe hoja yako ni nini??Ndiyo maana nimekueleza toka mwanzo kuwa, wewe hujui hata usemalo !!
Kwa akili yako fupi unadhani ukishamtaja Magufuli ama Rais wa nchi utakuwa umetenganisha na CCM na Sera zinazoongoza taifa hili hili ambazo ni za Chama Cha Mapinduzi...!!
Na hata ukishajua kuwa labda mimi ni mpenzi ama mfuasi wa CCM ama CHADEMA ama CUF ama chama cha siasa chochote, what's wrong with that ?
By the way, wewe huna chama, una chama ama mpagani.... kwangu mimi sijali hilo.....
What I care is, hoja yako. Hiyo ndiyo ninayoweza kujadili ama kuipinga, unga mkono, kosoa ama kuirekebisha ama vyovyote vile.....
Sasa wewe, defence yako ya... oooh, mimi sina chama hata sina hakika inalenga nini maana hata hujaulizwa na yeyote wewe ni chama gani !!!
Akitoka humo atakuwa amenyooka kama LemaHuo ni ujinga mkubwa unajivesha. Mdee kahatarisha usalama gani na kwa kauli gani? Mnalishwa maneno nanyi mnakula tuu bila hata kuchambua.
Mara eti kamtukana Rais, wapi katukana? Wameona hoja yake kuhusu elimu ya watoto wa kike wanao pata mimba kwa ujinga wa watu wazima ina mmaliza kabisa Sizonje, basi hoja inahujumiwa kwa kusingizia uongo na kumtesa kiakili.
Yatakapo warudi haya mambo ndio mtabaki mnashangaa.
Sasa kama kazoea kukaa huko mnalalamika humu nini?kwani mdee kukaa ndani kaanza jana, au mumezaliwa jana na nyie ndio mnaona, jela kule ni kama hospital, ipo siku utaumwa na utaenda au utapelekwa,
..Wewe mtu ni Hopless kabsaaa...mdee anatetea ukweli kwa kumtukana rais ?Hapo sasa kama ni kupelekwa mahakamani ni jumatatu au jumanne! KAMA bado yuko kwenye hunger strike jumanne watampeleka hospitali siyo mahakamani maana afya yake itakuwa si nzuri, labda jumatano hakimu atamsomea mashitaka akiwa kitandani. Very sad!
Hivyo ndivyo wanavyofanyiwa wapinzani na wote wanaothubutu kuusema ukweli mchungu.
Mlioko Dar tuwakilisheni vizuri na mwambieni kamanda Halima Mdee kuwa sisi tunaojua ukweli na thamani ya anachosimamia tunaendelea kumuombea kwa mwenyezi Mungu amfanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu anapoumia kwa ajili ya wengi.
Huu udhalimu hatimaye utafikia mwisho!
nani kalalamikaSasa kama kazoea kukaa huko mnalalamika humu nini?