Halima Mdee ahamishiwa central police baada ya masaa 72

Ndugai keshspokea maelekezo toka kwa mhimili mkuu na tayari ameshawishi bunge na serikali kuwa majimbo ya upinzani yasipate pesa kwa sababu ya kupigia kura ya hapana bajeti ya 2017/18.

Dawa iliyobaki ni kuiondoa serikali hii madarakani vinginevyo watu wa kawe na kungineko kwenye majimbo yanayoongozwa na upinzani tutaendelea kuumia hata baada ya 2020.

Isitoshe, Halima Mdee na upinzani kwa ujumla si wakusanyaji wa kodi inayohitajika kuleta maendeleo.

Vumilia mdau! Udhalimu una mwisho!
Labda Uondoe Serikali ya Mjomba wako
 
Saafi sana, mamlaka za nchi lazima ziheshimike. Akitoka huko akili itakuwa imemkaa sawa. Hii ndio laana ya kumtukana Spika Ndugai, kakutana na kisiki Mzirankende.
Mbona Lema Hakubadilika bali ameimarika? Najua Mdee atarudi na kuendelea kusema Ukweli bila hofu ya wasiojua Ukweli.
 
Mpaka tuache kuropoka!!! Ama Dhaifu ashike nchi!!
Nape alitolewa bastola live live naye alikua hajaheshimu mamlaka za JUU
akitoka huko atakuwa mwanamke anaejiheshimu..na anayeheshimu jamhuri.

Rais wa jamhuri sio raihisi rahisi kama wanavyodhani..huwezi kumdhalilisha Mheshimiwa kwa kumkosea adabu..

anyooshwe tu hamna namna..
 
Mpaka Ngosha akimaliza awamu zake za utawala.
Nawasihi wananchi wenzangu mcheze ngoma mkiangalia jua vinginevyo mtaumia zaidi.

Sina chama wala sihitaji siasa, huu ni ushauri wa bure nawapa.
Mandela angekiwa kunguru kama we we afroka kusini ukaburu ungekuwa bado upo
 
akitoka huko atakuwa mwanamke anaejiheshimu..na anayeheshimu jamhuri.

Rais wa jamhuri sio raihisi rahisi kama wanavyodhani..huwezi kumdhalilisha Mheshimiwa kwa kumkosea adabu..

anyooshwe tu hamna namna..
Kwakuwa yeye ni malaika
 
Hivi usalama wa nchi ni wa magufuli kujifanya Mungu mtu ana nini haswa mpaka atulizwe wakati kashindwa katika kila nyanja
Nakushauri nawe uende pale central police kisha onesha msimamo wako kuwa alichokuwa anakisema halima Mdee ni halali na upaze sauti yako ukitumia maneno yaleyale nadhani serikali itakusikia na watamuachia Halima na haki itakuwa imetendeka.
 
Mandela angekiwa kunguru kama we we afroka kusini ukaburu ungekuwa bado upo
We kilaza sana.
Kama una njaa jiunge ccm au chadema.
Mimi sina njaa hutaona nafanya siasa mpaka nakufa.
Hayo maoni nimetoa mimi kama mtanzania kama unaona kila anayezua hoja dhidi ya chama chako basi naye ni ccm wewe ni mpuuzi tu.

Narudia wewe kama unanjaa jiunge kwenye siasa.
 
Chadema wanajipanga kwenda Mahakamani kupinga Sheria inayowapa Mamlaka na RC na Ma DC kuwaweka ndani Halafu Wewe Mshabiki wa Chadema unahoji Kama kuna hiyo Sheria?
Mtafute Lissu umuulize inakuaje anajiandaa kwenda Mahakamani kupinga Sheria isiyokuwepo
Hueleweki ndugu! Unaongelea mamlaka! Umesema vitabu vya dini vinasema tutii mamlaka na siyo katiba na sheria! Sasa what's your stance?

Mimi nimemuuliza mamlaka gani (kwa kufuata maelezo yako) ambayo imewekwa na vitabu vya dini ambayo Halima kaivunja?

Ukitaka tujadili katiba na sheria vilevile, swali litakuwa lile lile, ni sheria ipi Halima kaivunja?

Kwa upande mwingine nimekuuliza, kuwekwa ndani zaidi ya masaa 48 bila kupelekwa mahakamani, ndiyo mamlaka iliyowekwa na vitabu vya dini?

Hilo la CHADEMA ni political stunt tu! It doesn't concenr me! Btw, I'm more independent than a CHADEMA follower! Though CHADEMA has some policies and positions that I like! But, mostly I act and think independently.
 
Mpaka Ngosha akimaliza awamu zake za utawala.
Nawasihi wananchi wenzangu mcheze ngoma mkiangalia jua vinginevyo mtaumia zaidi.

Sina chama wala sihitaji siasa, huu ni ushauri wa bure nawapa.
toka hapa wewe,unafikri fikra finyu kama hizo ange fanya Mandela tungeona A.kusini huru?
 
Not every human being fit the real definition of human being; and the number of human beings today,if any,that number itself is not real-Binadamu leo hii ni wachache sana na huenda hakuna kabisa.

Mtu unaridhika kulala ndani na familia yako huku mwenzako umemuweka jela kwasababu zisizoeleweka na wala nafsi haikusuti alafu kila siku uko kanisani /msikitini eti unaomba Mungu/unaomba uombewe!

Soon tutaacha hata kuzikana kutokana na aina hii ya sisiasa!

Mwenyemuzi Mungu ingilia kati.
Kinachomtofautosha binadamu na wanyama wengine ni ukweli kuwa anaweza kufikiri, kutambua baya na zuri na hatimae kufanya maamuzi mazuri.

Kuja kwa teknolojia hii kumepambanua kuwa binadamu wengi sasa hatutumii huo uwezo tuliopewa wa kupambanua jema/baya, lipi linafaa kuzungumza na lipi halifai, mahali gani tunaweza kuongea jambo na kwa namna gani.

Wakati Mh. Lema akiwa mahabusu nilirudia kusema kuwa atajifunza "kujipambanua na wanyama wengine", bahati nzuri lile funzo limempa mda wa kujitafakari, kuchuja lipi la kuongea na lipi halifai. Halima will follow the same trend, mark my words.

Na hili lipo kwa sisi wote, regardless our political/religious affiliations.
 
We kilaza sana.
Kama una njaa jiunge ccm au chadema.
Mimi sina njaa hutaona nafanya siasa mpaka nakufa.
Hayo maoni nimetoa mimi kama mtanzania kama unaona kila anayezua hoja dhidi ya chama chako basi naye ni ccm wewe ni mpuuzi tu.

Narudia wewe kama unanjaa jiunge kwenye siasa.
Kama huna uwezo wa kuchangia,waachie wanaume wa shoka,huna lolote nyamaza kimya
 
toka hapa wewe,unafikri fikra finyu kama hizo ange fanya Mandela tungeona A.kusini huru?
Wewe una fikira pana kunizidi mimi, mimi naangalia nature ya mtu aliyeko madarakani na hiki mnachokitaka, mimi siko chadema wala sitaki kua ccm wala staki siasa ila nawambia mtaumia sana japo mnalilia haki, kudai haki bila kuzingatia hali halisi ni sawa na kudai kifo, nawambia angalieni nyakati na nature ya mtu mliyempigia kura.
Magufuli anaweza hata kukutoa roho kisa umemkosoa sasa nyie jifanyeni wanaharakati tu.
Mimi nafanya shughuli zangu watoto wangu wapate ugali maisha yaendelee nyie wanaharakati nawatakia kila la heri.
 
Jiheshimu tafadhali
I insist Halima Mdee aache kuwa all over, ugangwe haumsaidii kitu maana deliverables zake ni wa kazi za ubunge, ambazo ameziacha sasa anashughulika na mambo ambayo si lazima yeye ayafanye. Mara Rais asiongelee maswala ya mimba mashuleni, kinara ni yeye, mara Mnyika asisukumwe, bouncer ni yeye, sasa yeye ndio anayelala polisi na kukokotwa huku na huko imekula kwake. Kuna strategy nyingi tu za kufikisha ujumbe, sio lazima upigane na jiwe, wewe unayenishangaa ndio wa kumsaidia, ubungu 2020 hapati, uwanasheria aliosome sioni ukimsaidia popote ku wini, sasa kamharibia hata Esther Bulaya ambaye pengine angebaki CCM leo angeweza kuwa hata Naibu waziri, she was well behaving, smart huwezi kumlinganisha na wakina shonza, sasa huyu Halima wetu ana nini cha kuuza sokoni? her selling proposition ni matusi, vurugu, ugomvi ubabe huu u bawacha aliutaka tu ili awabebe wakina Martha unschooled lakini Halima hana qualities za kutetea wanawake kwa kuwa yeye mwenyewe hana mambo ya kike. Namaliza kwa kusema, hana alicho deliver kwenye ubunge, sasa sana majungu, na ubabe wa kuwafanye vijana wengi wakichukie chama na kukiacha. Analelewa na Mbowe kwa sababu ambazo nyie chadema mnaziju, sasa kazi tu watakomaje? weekend hii yote mtoto wa kike ataimalizia central, hata mtoto mdogo kama Hapi anajua kuwa she is kaputi,
 
Tena ujiheshimu mkuu.
Mimi sina chama wala simshabikii mtu, walioamua kufanya siasa wafanye mimi nimekubali kuongozwa ila sitaki kua mwanasiasa.

Hujui usemalo wewe !!

Na acha kabisa kudanganya wana JF hapa unless uwe huelewi maana ya "siasa !! "

Wasioshabia siasa na wanasiasa wako kwenye majukwaa tofauti na hili hasa huko Twitter, FB ama JF JOKES nk...

Sasa wewe unafanya nini kwenye jukwaa ambalo ni 100% mijadala yake ni pure poli:tiks and politicians !!??

Inaelekea hata hutambui kuwa uelekeo wa maisha yako ya kila siku huamuliwa na siasa na wanasiasa na kwa maana hiyo directly or indirectly hutakwepa kujadili ama kushiriki ktk siasa whether you like it or not !!

Kwa maelezo hayo, mimi nimepuuza ombi lako la "tuheshimiane" maana nadhani umelitema nje ya ufahamu wako wa kawaida !!!
 
Kama huna uwezo wa kuchangia,waachie wanaume wa shoka,huna lolote nyamaza kimya
Huna unachosaidia zaidi ya kuandika hapa jf.
Hata maandamano yakiitishwa hua hauendi.

Huo ndo uanaume wa shoko kushinda kwenye keyboard?
We jifanye mwanaume ilihali ugali kwako ni tatizo.
 
Back
Top Bottom