Hali ya uchumi Tanzania ni mbaya sana. Nchi iko kwenye crisis kubwa, ni balaa...

Hii nchi kila nikiifikiria na kusoma mabaya yake natamani nihame. Dah! Ngoja nijipange nihame rasmi.
Kwa mtakaoendelea kubaki hakikisheni mnauadabisha uongozi na resources zote zirudi kwenu wazawa.
 
Haya ni madafu....endelea utakuwa nazi very soon.
Hata mfalme wa bagamoyo nae tayari.
Afadhali na wewe imeliona hilo. Huyu jamaa anajaribu kuelezea hisia za kila siku za wanasiasa humu JF anafikiri na sisi pia tuko humu kuombwa kura.
 
soSI pLEASE.......................OTHERWISE PUMBA
Wacha upumbavu weye.....mi nisemaye haya si mwanasiasa.......nipo kwenye system(mtumishi wa umma)....hakuna siasa hapa....these are mere facts.....you take them or leave them....its up to you.....you know what! what costs Tanzanians much is the highest level of ignorance they tend to have.......just like you.....ignorant......ndio sababu tunafanywa mambuzi ndani ya nchi yetu....
 
kubwa zaidi na la uhakika mishahara ya mwezi huu tia maji tia maji
ya mwezi jana walikopa STANBIC .
[h=1]Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China Yamwaga Mikopo isiyona na Riba Dola Za Kimarekani Milioni 89.8 Kwa Serikali Ya Tanzania.na picha hiyo hapo.tutafika tuu[/h] 1.jpg
 
Kama kichwa kimoja kinaweza kujilipa milioni 130 kwa masaa 12 pigia vichwa vyote vya ccm vinagawana sh ngapi kwa siku. MI SITAKI KUJADILI WL KUUMIZA KICHWA CHANGU SANA ILA.......
 
  • Pamoja na maovu yanayozidi kujitokeza tz yakihusishwa na ubadhirifu mkubwa na upotevu wa fedha za umma usio na kifani...nchi ya tz kwasasa iko kwenye msiba mzito kiuchumi. hali hii tayari inajulikana kwa watendaji wengi serikalini ambao kwasababu za kiajira hawawezi kusema adharani lakini hali ni kwamba nchi imefilisika kabisa.......kama kuna watu walioko kwenye ajira serikalini na wanafatilia kwa makini hili watakuwa wameliona. Ni kwamba serikali imeishiwa kabisa......sijui hata huyu jamaa jk naposafiri nje hela inatoka wapi?........
  • Ni kwamba hali imekuwa mbaya kiasi kwamba siku hizi kupata mshahara limekuwa ni swala la kuomba mungu!!!!!watu wanapokea nusu mishahara siku hizi..........hali imekuwa tete saaaana, haielezeki.....watu walio sekta binafsi wana nafuu kwani private sector wana ufanisi kwenye utendaji wao.....hali serikalini ni mbaya saana na nchi inaendeshwa completely na mikopo ya benki za ndani na deni la taifa limekuwa kubwa kupita kiasi..yaaani tz inaendeshwa kwa matumizi makubwa kuliko mapato sasa na ni suala la mda tu nchi itadondokea pua kama nchi za ulaya.....e.g iceland,greece and others......
  • Hali hii pia imechangiwa na wafanyakazi kukosa moral ya kazi kwa kuona wizi mkubwa unafanyika nao hawafaidi.....killa mtu anajali tumbo lake kwani anasema asipokula yeye atakula juma etc....maisha yamepanda,ukichangamya na kushuka kwa shilling na kupanda kwa bei ya vitu basi tz imekuwa ni kilio cha ajabu......viongozi wetu hili wanalijua na hawataki kulifanyia kazi kwani wako busy na wenyewe kuangalia maslahi yao huku wakijua soon or later nchi inakuwa kweye deep economic collapse.Kila mtu anataka kuchukua chake mapema......hali ni mbaya sana na viongozi wetu kwasababu ya unafiki wao hawataki kutangazia dunia hili swala lakini hali halisi ni kwamba tz tayari iko kwenye economic crisis tena kubwa ajabu kuliko hata ya nchi za ulaya...maana tz haina chake......kila kitu wameuza.....yaani nchi hakuna inachomiliki.......wamebaki kuomba misaada na kuomba kampuni zilipe kodi na mirahaba lakini tz haina kitu mkononi.......dhahabu wameshindwa hata kuhifadhi benki kuu kama gold bullion ili iuzwe ilete pesa ya kigeni kwa maana sasa katika soko la dunia dhahabu bei iko juu na ndio inashikilia uchumi wa nchi nyingi.....
  • Sisi dhahabu yetu yote wanabeba makampuni tuliyowauzia migodi kwa bei chee na wanaiuza nje kwa bei mbaya......na pesa zinaingia kwenye serikali zao ambako ndio kuna masoko yao ya hisa.......sisi kama nchi hatuna chetu kwa sasa....kwenye kila raslimali muhimu hatuna chetu....au hakitoshi.....maana tumeshauza na sasa hela ya kigeni hamna kabisa nchini, ndio sababu thamani ya shilingi inashuka......hili halisemwi lakini ndio hali halisi.....hatuna chetu pamoja na raslimali zetu chungu mzima.......tumebaki na majengo tu kama benki kuu lakini hamna kitu ni sifa tu za kipumbavu.......tumebaki kutafta sifa za kijinga tena za kulazimisha kama mlima kili, au kuwa na officials nje(diplomats)au kupata tuzo za kipumbavu etc...lakini ukweli ni kwamba tz ni nchi mojawapo itakayo tangazwa soon kuwa kwenye deep economic crisis na itahitaji bail out........very very soon................nasema hivi kwasababu tayari nchi inashindwa kulipa mishahara wafanyakai wake....what do you expect????????benki binafsi soon zitakataa kuikopesha serikali maana serikali watashindwa kulipa interest......Viongozi wamebaki kushabikia siasa maana ndiko kwenye maslahi.......hata wezi wa mali za umma siku hizi nobody bothers to deal with them.......
  • Kwa taarifa tu(ulizeni) ni kwamba sector nyingi za umma serikalini na mikoa hawajapelekewa OC (other charges)kwa muda mrefu sasa na miradi yooote ya maendeleo nchini imesimama....ulizeni...............veeeeery soon.......we will become the first african country in need of a bail out............................................
Yangu macho......................................

Nchi tajiri duniani zimefirisika itakuwa Tanzania?, tumia akili kufikiri.
 
mimi nakubaliana na ukweli kuwa nchi haiko vizuri kiuchumi lakini "breaking news ...." nilitegemea an incredible source and unquestionable facts lakini inaonekana umewasilisha habari yako KIUSHABIKI SANA NA KIMSISIMKO kwa lengo la kupata wachangiaji....
punguza munkari....
 
Yaani wewe hujaachaga kusema HEARSAYS humu JF? maanake ulichokieleza hapo juu ni propaganda za kila silku za wanasiasa na ndiyo huko ulikoyaokota. Nashindwa kukuelewa , sijui huna upeo wa kuandika tafiti ulizofanya mwenyewe. Wanasiasa huwa wanatafuta umaarufu kwa wananchi kwa vile ndiyo wapiga kura wao , sasa wewe unatafuta umaarufu kwetu ili iweje. Wafanyakazi haohao unaosema wamekuambia wanalibwa mishanara tunao mitaani na wanaisifia serikali kwa kuwawahishia mishahara ya kila mwezi ukilinganisha na zamani. Hivi kama propaganga za wanasiasa juu ya kima cha chini cha mshahara zilipelekea wafanyakazi wakataka kuandamana leo hii kama kweli wangekuwa wanalipwa mishahara nusu kungekuwepo na siri kweli?
You thatha......when people talk try to at least analyze the situation...i wonder where do you get the crap that mimi ni mwanasiasa eti sijui nashabikia siasa!!!wewe kuwa ignorant kusiwe matusi kwangu please.....that is your problem(the same with kupeng'a), to you all ignorance is your way of life.....judging from your replies to this serious post.Yaani serikali iko kwenye deep economic shit nyie mnasema naleta siasa......i once said mimi si mwanasiasa na sihitaji sifa zenu humu jf.......i just said what is the reality katika system.....for your info....i,m also an employee(government)what more do you want.................tena si mfagiaji ambaye ni iliterate...nyie ndio huwa mnapinga kila kitu kama wanasiasa wa ccm alafu yanapoibuliwa mnabaki oh kumbe ilikuwa kweli!!!!!or you information......wakati viongozi wa nchi zilizoendelea wakihaha kukwamua nchi zao (including USA)kutoka kwenye economic shit......kwa kubana na kupunguza matumizi ya serikali.......sisi viongozi wetu wako kwenye siasa za maji taka...while the economy is in deep shit..........you don't believe this.......time will tell....hao jamaa unaowafahamu wana ajira serikalini waulize OC wamepelekewa lini let alone...mshahara wa mwisho wamelipwa lini? we unazungumzia mshahara kulipwa mapema!!!!!!ulizia wanapata sh.ngapi....wale wanaofanya utumishi au wizara ya fedha wanaweza kulipwa mapema.......kwa maana ile ile kuwa things in the government are so un even....ulizia about the majority si minority.........ulizia mikoani mishahara na oC ziinaendaje....wamepokea lini kwa mara ya mwisho?......don't be shortsighted maana watanzania mkishakaa dar huwa mnasahau sehemu nyingine za tz,mnafikiri he whole tz belongs to dar.....kwa hiyo rafiki yako wa dar akishalipwa mshahara basi.....wote wamelipwa tz.......ulizia je yule mfanyakazi wa ngara, ua mtwara au shinyanga amelipwa lini?...........mnapokaaa dar sijui mnajionaje!!!so ignorant!!!
 
Na bado Dokta Dikteta anampango wa kumwaga mabilioni kusheherekea miaka hamsini ya upupu. Come januari ndipo itabana zaidi.
 
  • Pamoja na maovu yanayozidi kujitokeza tz yakihusishwa na ubadhirifu mkubwa na upotevu wa fedha za umma usio na kifani...nchi ya tz kwasasa iko kwenye msiba mzito kiuchumi. hali hii tayari inajulikana kwa watendaji wengi serikalini ambao kwasababu za kiajira hawawezi kusema adharani lakini hali ni kwamba nchi imefilisika kabisa.......kama kuna watu walioko kwenye ajira serikalini na wanafatilia kwa makini hili watakuwa wameliona. Ni kwamba serikali imeishiwa kabisa......sijui hata huyu jamaa jk naposafiri nje hela inatoka wapi?........

  • Ni kwamba hali imekuwa mbaya kiasi kwamba siku hizi kupata mshahara limekuwa ni swala la kuomba mungu!!!!!watu wanapokea nusu mishahara siku hizi..........hali imekuwa tete saaaana, haielezeki.....watu walio sekta binafsi wana nafuu kwani private sector wana ufanisi kwenye utendaji wao.....hali serikalini ni mbaya saana na nchi inaendeshwa completely na mikopo ya benki za ndani na deni la taifa limekuwa kubwa kupita kiasi..yaaani tz inaendeshwa kwa matumizi makubwa kuliko mapato sasa na ni suala la mda tu nchi itadondokea pua kama nchi za ulaya.....e.g iceland,greece and others......
  • Hali hii pia imechangiwa na wafanyakazi kukosa moral ya kazi kwa kuona wizi mkubwa unafanyika nao hawafaidi.....killa mtu anajali tumbo lake kwani anasema asipokula yeye atakula juma etc....maisha yamepanda,ukichangamya na kushuka kwa shilling na kupanda kwa bei ya vitu basi tz imekuwa ni kilio cha ajabu......viongozi wetu hili wanalijua na hawataki kulifanyia kazi kwani wako busy na wenyewe kuangalia maslahi yao huku wakijua soon or later nchi inakuwa kweye deep economic collapse.Kila mtu anataka kuchukua chake mapema......hali ni mbaya sana na viongozi wetu kwasababu ya unafiki wao hawataki kutangazia dunia hili swala lakini hali halisi ni kwamba tz tayari iko kwenye economic crisis tena kubwa ajabu kuliko hata ya nchi za ulaya...maana tz haina chake......kila kitu wameuza.....yaani nchi hakuna inachomiliki.......wamebaki kuomba misaada na kuomba kampuni zilipe kodi na mirahaba lakini tz haina kitu mkononi.......dhahabu wameshindwa hata kuhifadhi benki kuu kama gold bullion ili iuzwe ilete pesa ya kigeni kwa maana sasa katika soko la dunia dhahabu bei iko juu na ndio inashikilia uchumi wa nchi nyingi.....
  • Sisi dhahabu yetu yote wanabeba makampuni tuliyowauzia migodi kwa bei chee na wanaiuza nje kwa bei mbaya......na pesa zinaingia kwenye serikali zao ambako ndio kuna masoko yao ya hisa.......sisi kama nchi hatuna chetu kwa sasa....kwenye kila raslimali muhimu hatuna chetu....au hakitoshi.....maana tumeshauza na sasa hela ya kigeni hamna kabisa nchini, ndio sababu thamani ya shilingi inashuka......hili halisemwi lakini ndio hali halisi.....hatuna chetu pamoja na raslimali zetu chungu mzima.......tumebaki na majengo tu kama benki kuu lakini hamna kitu ni sifa tu za kipumbavu.......tumebaki kutafta sifa za kijinga tena za kulazimisha kama mlima kili, au kuwa na officials nje(diplomats)au kupata tuzo za kipumbavu etc...lakini ukweli ni kwamba tz ni nchi mojawapo itakayo tangazwa soon kuwa kwenye deep economic crisis na itahitaji bail out........very very soon................nasema hivi kwasababu tayari nchi inashindwa kulipa mishahara wafanyakai wake....what do you expect????????benki binafsi soon zitakataa kuikopesha serikali maana serikali watashindwa kulipa interest......Viongozi wamebaki kushabikia siasa maana ndiko kwenye maslahi.......hata wezi wa mali za umma siku hizi nobody bothers to deal with them.......
  • Kwa taarifa tu(ulizeni) ni kwamba sector nyingi za umma serikalini na mikoa hawajapelekewa OC (other charges)kwa muda mrefu sasa na miradi yooote ya maendeleo nchini imesimama....ulizeni...............veeeeery soon.......we will become the first african country in need of a bail out............................................
Yangu macho......................................

Sukari kilo moja BK ni shilingi 3000.Tumeacha kunywa chai huku.
 
Nchi tajiri duniani zimefirisika itakuwa Tanzania?, tumia akili kufikiri.

Wewe ndo utumie akili kufikiri, kwani ni wapi iliandikwa kuwa nchi tajiri zikifilisika na tanzania lazima ifilisike, tutolee mawazo yako ya kutawaliwa akili hapa, kwa taarifa yako kufilisika kwetu kunatokana na ubinafsi wa watu kama wewe. Mnatuibia halafu mnatuletea hoja za kipuuzi hapa, eboh!!!
 
Nilishawahi kusema nchi yetu haina wachumi,na pia uongozi mzima kuanzia Rais ni watu wasio na fikra za kutazama mbele.Nilisema Tanzania kwa style yake kufuata sheria wa utaratibu wa uchumi angamizi[depletion economy]Hatutafika mbali kabisa.Lazima tuwe na sustanable economic.sasa hizi ni dalili bado hali mbaya inakuja subirini MUNGU BARIKI TANZANIA
 
Mods naomba mfute hii thread. Wanalalamika nini wakati wao ndio walimchagua jahcarhire mwaka jana, walikua hawajui?!
 
Hii sio breaking news kwa sababu hata bibi yangu kule tukuyu anajua siku nyingi tu kuwa serikali imefilisika
 
Makubwa!

Mbona nilihudhuria presentation moja less than a month a go jamaa wa African Development Bank akipresent research yake kuhusu comparison ya Africa and the rest of the world alitoa data kuwa nchi za East Africa hazikuathirika na global financial crisis. Nadhani ali generalize maana kwa hali hii Tz ni exception.

Nasikitika maana Ghana wenzetu tayari ni middle income country (wanaitwa dubai of West Africa), na wanategemea dhahabu hizi hizi, of course wameanza kuchimba mafuta but ni hivi karibuni. Bila uadilifu na kuendekeza umimi na ufisadi, tutabaki hivi hivi pamoja na utajiri wa natural resources!

kubwa zaidi na la uhakika mishahara ya mwezi huu tia maji tia maji
ya mwezi jana walikopa STANBIC .
 
Back
Top Bottom