nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,281
- 3,243
- Pamoja na maovu yanayozidi kujitokeza tz yakihusishwa na ubadhirifu mkubwa na upotevu wa fedha za umma usio na kifani...nchi ya tz kwasasa iko kwenye msiba mzito kiuchumi. hali hii tayari inajulikana kwa watendaji wengi serikalini ambao kwasababu za kiajira hawawezi kusema adharani lakini hali ni kwamba nchi imefilisika kabisa.......kama kuna watu walioko kwenye ajira serikalini na wanafatilia kwa makini hili watakuwa wameliona. Ni kwamba serikali imeishiwa kabisa......sijui hata huyu jamaa jk naposafiri nje hela inatoka wapi?........
- Ni kwamba hali imekuwa mbaya kiasi kwamba siku hizi kupata mshahara limekuwa ni swala la kuomba mungu!!!!!watu wanapokea nusu mishahara siku hizi..........hali imekuwa tete saaaana, haielezeki.....watu walio sekta binafsi wana nafuu kwani private sector wana ufanisi kwenye utendaji wao.....hali serikalini ni mbaya saana na nchi inaendeshwa completely na mikopo ya benki za ndani na deni la taifa limekuwa kubwa kupita kiasi..yaaani tz inaendeshwa kwa matumizi makubwa kuliko mapato sasa na ni suala la mda tu nchi itadondokea pua kama nchi za ulaya.....e.g iceland,greece and others......
- Hali hii pia imechangiwa na wafanyakazi kukosa moral ya kazi kwa kuona wizi mkubwa unafanyika nao hawafaidi.....killa mtu anajali tumbo lake kwani anasema asipokula yeye atakula juma etc....maisha yamepanda,ukichangamya na kushuka kwa shilling na kupanda kwa bei ya vitu basi tz imekuwa ni kilio cha ajabu......viongozi wetu hili wanalijua na hawataki kulifanyia kazi kwani wako busy na wenyewe kuangalia maslahi yao huku wakijua soon or later nchi inakuwa kweye deep economic collapse.Kila mtu anataka kuchukua chake mapema......hali ni mbaya sana na viongozi wetu kwasababu ya unafiki wao hawataki kutangazia dunia hili swala lakini hali halisi ni kwamba tz tayari iko kwenye economic crisis tena kubwa ajabu kuliko hata ya nchi za ulaya...maana tz haina chake......kila kitu wameuza.....yaani nchi hakuna inachomiliki.......wamebaki kuomba misaada na kuomba kampuni zilipe kodi na mirahaba lakini tz haina kitu mkononi.......dhahabu wameshindwa hata kuhifadhi benki kuu kama gold bullion ili iuzwe ilete pesa ya kigeni kwa maana sasa katika soko la dunia dhahabu bei iko juu na ndio inashikilia uchumi wa nchi nyingi.....
- Sisi dhahabu yetu yote wanabeba makampuni tuliyowauzia migodi kwa bei chee na wanaiuza nje kwa bei mbaya......na pesa zinaingia kwenye serikali zao ambako ndio kuna masoko yao ya hisa.......sisi kama nchi hatuna chetu kwa sasa....kwenye kila raslimali muhimu hatuna chetu....au hakitoshi.....maana tumeshauza na sasa hela ya kigeni hamna kabisa nchini, ndio sababu thamani ya shilingi inashuka......hili halisemwi lakini ndio hali halisi.....hatuna chetu pamoja na raslimali zetu chungu mzima.......tumebaki na majengo tu kama benki kuu lakini hamna kitu ni sifa tu za kipumbavu.......tumebaki kutafta sifa za kijinga tena za kulazimisha kama mlima kili, au kuwa na officials nje(diplomats)au kupata tuzo za kipumbavu etc...lakini ukweli ni kwamba tz ni nchi mojawapo itakayo tangazwa soon kuwa kwenye deep economic crisis na itahitaji bail out........very very soon................nasema hivi kwasababu tayari nchi inashindwa kulipa mishahara wafanyakai wake....what do you expect????????benki binafsi soon zitakataa kuikopesha serikali maana serikali watashindwa kulipa interest......Viongozi wamebaki kushabikia siasa maana ndiko kwenye maslahi.......hata wezi wa mali za umma siku hizi nobody bothers to deal with them.......
- Kwa taarifa tu(ulizeni) ni kwamba sector nyingi za umma serikalini na mikoa hawajapelekewa OC (other charges)kwa muda mrefu sasa na miradi yooote ya maendeleo nchini imesimama....ulizeni...............veeeeery soon.......we will become the first african country in need of a bail out............................................