Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,604
Jamani naombeni kujua anayejua hali za hawa wanasiasa walioko huko India ziko vipi, au kama walisharudi Bongo niambiwe. Kwa sababu kama Mwakyembe alivyoondoka tulikuwa tunapata updates kila wakati, hivi sasa naona kimyaaaa, Mwandosya vipi?
Kwa sasa naona ni Kamanda Zitto tu ndiye tunayepata nyuzi zake! Isije na yeye ikawa ni nguvu ya soda baadaye atakuwa kimya, India panaanza kunitisha hasa kwa hawa viongozi wa serikali ambao ni wanasiasa wakubwa.
Mwenye taarfa tafadhali.
Kwa sasa naona ni Kamanda Zitto tu ndiye tunayepata nyuzi zake! Isije na yeye ikawa ni nguvu ya soda baadaye atakuwa kimya, India panaanza kunitisha hasa kwa hawa viongozi wa serikali ambao ni wanasiasa wakubwa.
Mwenye taarfa tafadhali.