Hali ya Kiuchumi Nchini ni Mbaya Kuliko Inavyofikiriwa...

Mdau

JF-Expert Member
Mar 29, 2008
1,789
470
Wadau, hali ya kiuchumi ni tete kwa sasa, na inavyoonekana, baada ya uchaguzi hali itakua mbaya zaidi..hii inatokana na pesa nyingi kuhamishiwa kwenye shughuli za uchaguzi na matumizi mengine yasiyo ya lazima lakini yanayoendana na uchaguzi...kwa mfano;

1. Baadhi ya wafanyakazi wa serikali (hasa walimu) wamekatwa pesa katika mishahara ya ya mwezi Septemba, walipolalamika, wameambiwa ni (makosa?) ya mfumo wa kibenki, watarekebeshiwa mwezi Oktoba..

2. Wanafunzi wapya na wa zamani watakaojiunga vyuo vya elimu ya juu mwezi November hawana uhakika wa kupata mkopo katika semesta ya kwanza ya masomo yao, hili nimedhibitishiwa na baadhi ya wahusika Bodi ya mkopo...

3. Mfumuko wa bei za bidhaa za vyakula hauonyeshi kupungua makali katika kipindi cha miezi 6 iliyopita...

4. Fedha ambazo wizara na taasisi mbalimbali hupewa kwa matumizi zimepunguzwa/kukatwa katika rate ambayo haijapata kutokea...

5. Taasisi mbalimbali zimeamriwa kupeleka pesa zilikuwa zimepangwa kwa matumizi yao hazina ili ziingizwe katika kampeni...

Dalili hizi si njema kabisa, jitihada za makusudi zinatakiwa kufanywa, ama sivyo nchi yaweza tumbukia ktk matatizo makubwa zaidi...

















/
 
Wadau, hali ya kiuchumi ni tete kwa sasa, na inavyoonekana, baada ya uchaguzi hali itakua mbaya zaidi..hii inatokana na pesa nyingi kuhamishiwa kwenye shughuli za uchaguzi na matumizi mengine yasiyo ya lazima lakini yanayoendana na uchaguzi...kwa mfano;

1. Baadhi ya wafanyakazi wa serikali (hasa walimu) wamekatwa pesa katika mishahara ya ya mwezi Septemba, walipolalamika, wameambiwa ni (makosa?) ya mfumo wa kibenki, watarekebeshiwa mwezi Oktoba..

2. Wanafunzi wapya na wa zamani watakaojiunga vyuo vya elimu ya juu mwezi November hawana uhakika wa kupata mkopo katika semesta ya kwanza ya masomo yao, hili nimedhibitishiwa na baadhi ya wahusika Bodi ya mkopo...

3. Mfumuko wa bei za bidhaa za vyakula hauonyeshi kupungua makali katika kipindi cha miezi 6 iliyopita...

4. Fedha ambazo wizara na taasisi mbalimbali hupewa kwa matumizi zimepunguzwa/kukatwa katika rate ambayo haijapata kutokea...

5. Taasisi mbalimbali zimeamriwa kupeleka pesa zilikuwa zimepangwa kwa matumizi yao hazina ili ziingizwe katika kampeni...

Dalili hizi si njema kabisa, jitihada za makusudi zinatakiwa kufanywa, ama sivyo nchi yaweza tumbukia ktk matatizo makubwa zaidi...

/



Sijui hizo hela walizokubaliana kwenye kikao cha CC jumapili kuongeza katika kampeni watazitoa wapi? Maana ili washinde and wafanukiwe na mbinu chafu PESA mingi natakiwa!!!

Kazi ni moja tu!!! VOTE FOR CHADEMA
 
Wadau, hali ya kiuchumi ni tete kwa sasa, na inavyoonekana, baada ya uchaguzi hali itakua mbaya zaidi..hii inatokana na pesa nyingi kuhamishiwa kwenye shughuli za uchaguzi na matumizi mengine yasiyo ya lazima lakini yanayoendana na uchaguzi...kwa mfano;

1. Baadhi ya wafanyakazi wa serikali (hasa walimu) wamekatwa pesa katika mishahara ya ya mwezi Septemba, walipolalamika, wameambiwa ni (makosa?) ya mfumo wa kibenki, watarekebeshiwa mwezi Oktoba..

2. Wanafunzi wapya na wa zamani watakaojiunga vyuo vya elimu ya juu mwezi November hawana uhakika wa kupata mkopo katika semesta ya kwanza ya masomo yao, hili nimedhibitishiwa na baadhi ya wahusika Bodi ya mkopo...

3. Mfumuko wa bei za bidhaa za vyakula hauonyeshi kupungua makali katika kipindi cha miezi 6 iliyopita...

4. Fedha ambazo wizara na taasisi mbalimbali hupewa kwa matumizi zimepunguzwa/kukatwa katika rate ambayo haijapata kutokea...

5. Taasisi mbalimbali zimeamriwa kupeleka pesa zilikuwa zimepangwa kwa matumizi yao hazina ili ziingizwe katika kampeni...

Dalili hizi si njema kabisa, jitihada za makusudi zinatakiwa kufanywa, ama sivyo nchi yaweza tumbukia ktk matatizo makubwa zaidi...


/

Kinana atasema si kweli. Hali ya uchumi kila mwenye akili anaijua na ni vizuri sana JK, alipokuwa anaingia madarkani alisema hali ya uchumi ni nzuri. Sasa hivi nadhani iko sawa kiasi na enzi za mzee ruksa. Sasa hivi nchi inakwenda mrama, kazi yote aliyofanya Mkapa inaporomoka.
 
safari zote za kikazi zimefutwa, zimebakia chache sana kwa wuatu muhimu na wameambiwa kabisa kuwa hakuna Perdiem n posho zote za safari, watalipwa baadae kama malimbikizo, ni balaa, hazina kweupeeeeeeeeeee
 
Nilisikia mahali fulani kuwa hata noti za 5000 zimechapwa tena nyingi sana kwa ajili ya mambo fulani na kwamba hata mradi wa kubadilisha leseni ni kwa jili ya kuziba mapengo ya uchanguzi....
 
Nina wasi wasi ela za loan board wamezipeleka kwa fixed deposit ili wale mkwanja baada ya muda fulani.
Kila kitu mtaani kimepand bei including mafuta ya diesel,petrol.
Njama za CCM kuingia ikulu kwa gharama yoyote ile kazi ipo
 
Watanzania wezangu, tusipofanya mabadiliko mwaka huu itakuwa imekula kwetu; jana nimenunua ream moja ya karatasi kwa Tsh 9,000/= badala ya Tsh 6, 500/= hapa DSM. tuwe macho kwani kuanzia November 01, 2010 kutakuwa na magenge mawili ya kifisadi ya CCM - la kuondoka madarakani hapo 2015 na lingine linalojianda kuingia madarakani 2015 watanzania wengi tutabaki mifupa mitupu. Suluhisho ni Kuchangua DR. Slaa hapo Oct 31,2010
 
Serikali pia imekula pesa yote ya wakandarasi ambapo malipo yote yamesimamishwa na dal ya erikali inadaiwa hela nyingi sana na wakandarasi wazawa. Serikali ya Tanzania inasaidia kuwaua watu wake badala ya kuwaendeleza na kuwapa misaada. Wakandarasi wamejenga barabara lakini malipo hawapewi yaani wanakopwa na serikali hii kama enzi za Mzee Ruksa. Wenzetu Wamarekani wanawakopesha wafanyabiashara ili kampuni zao zisife sisi huku ndo kwanza tunawakopa! Inasikitisha sana sana
 
Kwanza kumbukeni hata transparency kwenye makusanyo ya kodi ya kila mwezi siku hizi haipo/haitangazwi, hapo ndiyo ujue kwa sasa ni ufisadi tu nani kati yetu anakumbuka kwa mara yamwisho tulitangaziwa lini makusanyo ya mwezi???

Tukumbuke pia JITU LA MIRABA MINNE BENJAMIN WILLIAM MKAPA lilikuwa likitoa kila mwezi report ya makusanyo, nchi ilikuwa imejazwa mapesa kila kona hakuna mkandarasi aliyelalamika, serikali iliweza hata kutoa advance payment kwa wakandarasi njaa lakini mshiko ulikuwa umejaa pamoja na kuwa chini ya Fisadi Mramba lakini bado mambo yakuwa poa.
Kwa sasa ni UFISADI ASILIA.
JK lazima tumuondoshe pale magogoni aingiae mzee wa kazi.Hata kaka yake Sumaye kakubali SLAA aingie Magogoni.
KAZI KWETU WAPIGA KURA NA WALINDA KURA
 
Wanajeshi pia wamekatwa mishahara ya september na kuambiwa ni makosa ya mfumo wa benki... Miradi inayofadhiliwa kimataifa serikalini yote imesimamishwa fedha za kuendeshea ziko katika kampeni.. Hii ni balaaaaa. Matokeo ya kulazimisha kubaki madarakani
 
Ebu Chadema tumia hii - mishahara ya wafanyakazi yakwatwa makosa ya computer! uongo mtupu - wizi wa haki ya watu kwa kufanyia kampeni ya kukupeleka Ikulu kwa kufisadi mishara ya waalimu, wanajeshi, makandarasi. Mabago yote ya nini?
 
aisee ni kweli hata mmnimekatwa mshahara wangu da mbaya zaidi niko nje kikazi,nimewaambia baba,mama zangu mke wangu na dada wa kazi wapigie chadema kura!!
 
USHAURI WANGU KWA WENYE RELIABLE EVIDENCE wampatie DR.SLAA ili azimwage hazarani.Kura za wafanyakazi 300,000+ ni muhimu SANA kwa CHADEMA kama kweli wamekatwa na bado kawanyima nyongeza, hii ni hatari NYINGINE. Halafu tukumbuke waalimu ni wasimamizi wa chaguzi kwa hiyo ni muhimu wakajulishwa kuwa hakuna makosa ya IT ila ni kwamba serikali haina pesa zimetumika ktk kampeni.

Hili litakuwa bomu jipya kwa Dr.Slaa la kumalizia kampeni.
TADHALI KWA WENYE DATA WAZITOE TUMALIZIE KAZI.
 
Wanajeshi pia wamekatwa mishahara ya september na kuambiwa ni makosa ya mfumo wa benki... Miradi inayofadhiliwa kimataifa serikalini yote imesimamishwa fedha za kuendeshea ziko katika kampeni.. Hii ni balaaaaa. Matokeo ya kulazimisha kubaki madarakani

Aisee, sidhani kama ni jambo la busara kukata hadi mishahara ya hawa mabwana, wana tofauti kubwa sana na walimu au manesi....
 
Benki kuu na hazina wanajua hali ya uchumi tukipata data zao zitatupa picha kamili.
 
Wadau, hali ya kiuchumi ni tete kwa sasa, na inavyoonekana, baada ya uchaguzi hali itakua mbaya zaidi..hii inatokana na pesa nyingi kuhamishiwa kwenye shughuli za uchaguzi na matumizi mengine yasiyo ya lazima lakini yanayoendana na uchaguzi...kwa mfano;

1. Baadhi ya wafanyakazi wa serikali (hasa walimu) wamekatwa pesa katika mishahara ya ya mwezi Septemba, walipolalamika, wameambiwa ni (makosa?) ya mfumo wa kibenki, watarekebeshiwa mwezi Oktoba..

2. Wanafunzi wapya na wa zamani watakaojiunga vyuo vya elimu ya juu mwezi November hawana uhakika wa kupata mkopo katika semesta ya kwanza ya masomo yao, hili nimedhibitishiwa na baadhi ya wahusika Bodi ya mkopo...

3. Mfumuko wa bei za bidhaa za vyakula hauonyeshi kupungua makali katika kipindi cha miezi 6 iliyopita...

4. Fedha ambazo wizara na taasisi mbalimbali hupewa kwa matumizi zimepunguzwa/kukatwa katika rate ambayo haijapata kutokea...

5. Taasisi mbalimbali zimeamriwa kupeleka pesa zilikuwa zimepangwa kwa matumizi yao hazina ili ziingizwe katika kampeni...

Dalili hizi si njema kabisa, jitihada za makusudi zinatakiwa kufanywa, ama sivyo nchi yaweza tumbukia ktk matatizo makubwa .

/

Saa ya Ukombozi ni sasa. Kazi ya walimu ni kupiga kura. wakumbuke kuwa aliisha waambia kuwa HATAKI KURA ZAO LABDA WAJIPENDEKEZE

View attachment 15269
 
Wadau, hali ya kiuchumi ni tete kwa sasa, na inavyoonekana, baada ya uchaguzi hali itakua mbaya zaidi..hii inatokana na pesa nyingi kuhamishiwa kwenye shughuli za uchaguzi na matumizi mengine yasiyo ya lazima lakini yanayoendana na uchaguzi...kwa mfano;

1. Baadhi ya wafanyakazi wa serikali (hasa walimu) wamekatwa pesa katika mishahara ya ya mwezi Septemba, walipolalamika, wameambiwa ni (makosa?) ya mfumo wa kibenki, watarekebeshiwa mwezi Oktoba..

2. Wanafunzi wapya na wa zamani watakaojiunga vyuo vya elimu ya juu mwezi November hawana uhakika wa kupata mkopo katika semesta ya kwanza ya masomo yao, hili nimedhibitishiwa na baadhi ya wahusika Bodi ya mkopo...

3. Mfumuko wa bei za bidhaa za vyakula hauonyeshi kupungua makali katika kipindi cha miezi 6 iliyopita...

4. Fedha ambazo wizara na taasisi mbalimbali hupewa kwa matumizi zimepunguzwa/kukatwa katika rate ambayo haijapata kutokea...

5. Taasisi mbalimbali zimeamriwa kupeleka pesa zilikuwa zimepangwa kwa matumizi yao hazina ili ziingizwe katika kampeni...

Dalili hizi si njema kabisa, jitihada za makusudi zinatakiwa kufanywa, ama sivyo nchi yaweza tumbukia ktk matatizo makubwa zaidi...


/

Hayo yote uliyoonyesha hapo juu yanachukuliwa na serikali nyingi duniani kukabiliana na matatizo ya kiuchumi. Hivyo inawezekana Kikwete anafanya vizuri.
 
Back
Top Bottom