Inaitwa TMA Marytina...
Kweli walikosea..na mimi niliamua nisitoke kwenda popote,tena walisema ingekuwa mbaya zaidi,sasa sijui lengo lilikuwa nini kutudanganya vile..
Au nami nisiwaamini!
Utabiri wao inawezekana ulionyesha hivyo ... Ukimbukwe pia Mzee wa Upako alisema mvua ikinyesha tena kubwa kama ... basi atakuwa si yeye ... Labda Mungu alisikia kilio cha watu wake!!!