kumetokea hali ya ukosefu wa amani katika maeneo yote yanayozunguka vyuo vikuu vya mkoa wa Dodoma. Matokeo hayo yanahususha matukio ya ujambazi, ubakaji, uvamizi, uporaji na mengi yanayofanana na hayo. ninaporipoti taarifa nipo chuo cha St John's ambapo wanachuo pamoja na mkuu wa polisi wailaya ya Dodoma mjini ambaye amejitambulisha kuwa anahamia Katavi na tayari ameambatana na yule atakayechukua nafasi yake.
wananchuo wanaanza kutoa madukuduku na matukio ambayo yamekuwa yakiwapata!
By msoroka
Hebu visit Ranking Web of World universities: Top Africa ili kuona rank za vyuo vikuu bora 100 katika Africa pamoja na ranks zake katika dunia. Pia visit Top Colleges & Universities in Tanzania | 2012 University Web Rankings ili kuona vyuo vikuu bora katika Tanzania.
kwa kweli great thinker wa leo mmeniudhi, awali niliona niwaache kwa style ya kuhama kwenu mada but itz useless. qoute hapo juu inatosha kumaliza mada ya listing za vyuo vikuu na ubora wake with reference kwa vyuo vya Tz, ni kweli vyuo vyetu vingi ubora wake uko chini, kuna vyuo vinavyojidhani ni vya kitaifa, kimkoa na vya kata. kuna vyuo vina miundo mbinu dhaifu na vingine vya wastani; hata hivyo miundombinu cyo kigezo kikuu cha utowaji wa kiwango cha elimu, say chuo no.2 tz ni cha kiwango cha chuo cha kata kama kilivyo hiki kinachojadiliwa!
sasa turudi kwenye mada, uporaji umekithiri vyuo vya Dodoma, case study ni SJUT, wanafunzi wengi wanaishi hosteli binafsi zinazozungukwa na chuo; huko wanavamiwa usiku wa kuanzia saa 4 wanapotoka kusoma mpaka saa 11 alfajiri vibaka wanafanya wanavyotaka!
matukio zaidi ya 10 yameripotiwa polisi wilaya, hakuna juhudi zozote zilizochukuliwa na hivyo wameamua kuacha kuripoti maana hakuna maana ya kwenda polisi. matukio ya kuanzia ijumaa ya wk jana, nyumba ina geti na drill vibaka walivamia chumba cha wasichana 2 wakaiba laptop2, simu5, pesa, modem2, flash nguo za thaman nakila ki2 kidogo cha thamani walichoona na kisha kufanya ubakaji!
pamoja na kuripotiwa polisi, kesho walifanya doria mpaka saa 4 na baaday ya hapo vibaka wakavamia wa2 wengine chumba cha hostel jiran wakaiba laptop 3, pamoja na nguo wakawafunga kamba wasichana 2 na mmoja wakawa tayari kumbaka attempt ikashindikana maana alikimbia na wakamkimbiza kama mwizi but wa2 wakaamka kumuokoa, hata hivyo walishindwa kuiba sehemu nyinginezo jirani japo na zingine walikua tayari wameshachukua vitu vidogo!
jana walivamia hostel ya wasichana chumba kwa chumba wakawaibia kila kitu pamoja na nguo, wakavamia nyumba nyingine wakabaka wasichan baaadaya kuwaibia vtu vyao vyote na kuwaacha uchi.
orodha ni ndefu mno. kinachoudhi, polisi hawaonyeshi kuguswa na tatizo hili na yamkini uongozi wilaya unahusika na matukio haya kwa sababu:
wanajamii. matukio nimengi na action ndo hizi! huu ndo mjadala, kama una ndugu kwenye vyuo hivi mnavyoviita vya kata hii ndo hali halisi
TUJADILI HILO!
wananchuo wanaanza kutoa madukuduku na matukio ambayo yamekuwa yakiwapata!
Hebu visit Ranking Web of World universities: Top Africa ili kuona rank za vyuo vikuu bora 100 katika Africa pamoja na ranks zake katika dunia. Pia visit Top Colleges & Universities in Tanzania | 2012 University Web Rankings ili kuona vyuo vikuu bora katika Tanzania.
kwa kweli great thinker wa leo mmeniudhi, awali niliona niwaache kwa style ya kuhama kwenu mada but itz useless. qoute hapo juu inatosha kumaliza mada ya listing za vyuo vikuu na ubora wake with reference kwa vyuo vya Tz, ni kweli vyuo vyetu vingi ubora wake uko chini, kuna vyuo vinavyojidhani ni vya kitaifa, kimkoa na vya kata. kuna vyuo vina miundo mbinu dhaifu na vingine vya wastani; hata hivyo miundombinu cyo kigezo kikuu cha utowaji wa kiwango cha elimu, say chuo no.2 tz ni cha kiwango cha chuo cha kata kama kilivyo hiki kinachojadiliwa!
sasa turudi kwenye mada, uporaji umekithiri vyuo vya Dodoma, case study ni SJUT, wanafunzi wengi wanaishi hosteli binafsi zinazozungukwa na chuo; huko wanavamiwa usiku wa kuanzia saa 4 wanapotoka kusoma mpaka saa 11 alfajiri vibaka wanafanya wanavyotaka!
matukio zaidi ya 10 yameripotiwa polisi wilaya, hakuna juhudi zozote zilizochukuliwa na hivyo wameamua kuacha kuripoti maana hakuna maana ya kwenda polisi. matukio ya kuanzia ijumaa ya wk jana, nyumba ina geti na drill vibaka walivamia chumba cha wasichana 2 wakaiba laptop2, simu5, pesa, modem2, flash nguo za thaman nakila ki2 kidogo cha thamani walichoona na kisha kufanya ubakaji!
pamoja na kuripotiwa polisi, kesho walifanya doria mpaka saa 4 na baaday ya hapo vibaka wakavamia wa2 wengine chumba cha hostel jiran wakaiba laptop 3, pamoja na nguo wakawafunga kamba wasichana 2 na mmoja wakawa tayari kumbaka attempt ikashindikana maana alikimbia na wakamkimbiza kama mwizi but wa2 wakaamka kumuokoa, hata hivyo walishindwa kuiba sehemu nyinginezo jirani japo na zingine walikua tayari wameshachukua vitu vidogo!
jana walivamia hostel ya wasichana chumba kwa chumba wakawaibia kila kitu pamoja na nguo, wakavamia nyumba nyingine wakabaka wasichan baaadaya kuwaibia vtu vyao vyote na kuwaacha uchi.
orodha ni ndefu mno. kinachoudhi, polisi hawaonyeshi kuguswa na tatizo hili na yamkini uongozi wilaya unahusika na matukio haya kwa sababu:
- pamoja na kutolea taarifa na kufunguliwa majalada na kupeleka majina ya wahusika na wanaoshukiwa hakuna hatua zilizochukuliwa
- katika karibu kila tukio polisi wamepigiwa simu hawafiki eneo la tukio. mfano tukio la ijumaa polisi walipigiwa simu mara 18 bila kupokelewa, ikapigwa simu dar na kisha RPC dar akapata taarifa akampigia cm RPC Dom ndo asubuhi polisi wakafika kwenye tukio
- tukio la juzi OCD alipigiwa cm namajibu yake yalichefua; anauliza kwa nini msimkamate huyo mwizi, lindeni wenyewe, tuko kwenye doria maeneo hayohayo msiwe na wasiwasi na majibu ya kisiasa ya namna hiyo
- matukio mengi akipigiwa OCD no action mpaka apigiwe RPC ndo atleast baada ya muda polisi watafika
wanajamii. matukio nimengi na action ndo hizi! huu ndo mjadala, kama una ndugu kwenye vyuo hivi mnavyoviita vya kata hii ndo hali halisi
TUJADILI HILO!