Bellino
Member
- Jan 29, 2012
- 65
- 10
Mtoto azaliwa akiwa haongei..akibahatika kuongea basì hutokea kitu cha ajabu..
TUKIO LA.1
alianza kutaja jina la bibi.. siku iliyofuata bibi yake akapoteza maisha.
TUKIO LA.2
alilia na kutaja jina la babu hivyohivyo akafariki babu siku ilifuata.
TUKIO LA.3
mtoto alilala alipoamka akataja jina la baba siku iliyofuata akafariki houseboy wa nyumba...
TUKIO LA.1
alianza kutaja jina la bibi.. siku iliyofuata bibi yake akapoteza maisha.
TUKIO LA.2
alilia na kutaja jina la babu hivyohivyo akafariki babu siku ilifuata.
TUKIO LA.3
mtoto alilala alipoamka akataja jina la baba siku iliyofuata akafariki houseboy wa nyumba...