Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Tatizo ni nini? Tanzania hadi hivi sasa inatoza gharama kubwa sana za simu , Je, ni kwa sababu haya makampuni yanachukua/wana charge kiwango kikubwa? Kodi ambayo inatozwa na Serikali ni standard shida ni nini hasa? Au kuna wale wanaopenda kuishi kama malaika kwa kutumia haya makampuni?Na haya yote yamesababishwa na Ndugai, Juma, Magufuli
Hii mihimili 3 ndo chanzo cha matatizo