The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Pilipili msioila inawawashia nini?
Tuisheni ya wabunge wa CCM wanafundwa jinsi ya kuongea Bungeni hii inaonyesha jinsi walivyo CRAP
Pilipili msioila inawawashia nini?
huu ni upuuzi wa hali ya juu. Kwamba ccm kwanza then watanzania na national interst nyuma huu ni upuuzi wa hali ya juu mr. Pinda. Umeanza kupinda vibaya.taachieni tanzania yetu jamani. Tumechoka:kev:
Ndugu, uamuzi au matokeo yoyote ya kijinga (kama ambavyo tayari taarifa zinaonesha - eti kutetea maslahi ya chama badala ya taifa) ya kusanyiko hili la "aibu" la hawa jamaa yana athari za moja kwa moja na maisha yako na sio suala la "Pilipili msioila inawawashia nini?".
Tuisheni ya wabunge wa CCM wanafundwa jinsi ya kuongea Bungeni hii inaonyesha jinsi walivyo CRAP
The three-day seminar was organized by the national assembly to familiarize new legislatures on party policies. Other political parties, according to the prime minister, will also hold similar seminars.[