KILITIME
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 265
- 18
WanaJF, mara kwa mara tumesikia kuhusu utekaji wa mabasi ya abiria na bahati mbaya sana watekaji huwa wanawavua nguo zote abiria na wanabaki uchi wa nyama. Mimi haijawahi kunitokea! Sijajua wanaovuliwa nguo huwa wanafanyaje baada ya hapo, kwamba huwa wanaomba msaada kwa wapita njia au vipi?
1. Ukizingatia wako jinsia tofauti tena uchi, je, nani anakuwa kiongozi wao?
2. Kila mtu atakuwa amekaa chini kujisitiri, nani ataanza kunyanyuka kwa ajili ya kuchukua hatua zinazofuata? Just thinking loudly!
3. Jifikirie ulivyo ukiwa peke yako tena uchi, kisha jifikirie mkiwa kundi, pia mko uchi: Jinsia tofauti, maumbo tofauti, rangi tofauti, hapo inakuwaje? A further loud thinking!
Kama wewe ungekuwa kwenye hali kama hiyo ungefanyaje?
1. Ukizingatia wako jinsia tofauti tena uchi, je, nani anakuwa kiongozi wao?
2. Kila mtu atakuwa amekaa chini kujisitiri, nani ataanza kunyanyuka kwa ajili ya kuchukua hatua zinazofuata? Just thinking loudly!
3. Jifikirie ulivyo ukiwa peke yako tena uchi, kisha jifikirie mkiwa kundi, pia mko uchi: Jinsia tofauti, maumbo tofauti, rangi tofauti, hapo inakuwaje? A further loud thinking!
Kama wewe ungekuwa kwenye hali kama hiyo ungefanyaje?