hayo ndo maisha bora kwa kila mtz, uyo ni mtu mzima alitakiwa awe na familia yake na watoto na heshima za kutosha, ona sasa maisha yanamfanya anakuwa hivyo...sijui nani atawakomboa watz katika hali kama hii.
Ama kweli maisha matamu. Yaelekea huyo kibaka pamoja na option ya kukwapua mali za watu ili kujiendeshea maisha lakini yuko makini mambo yanapokataa!!! hapo ana uhakika sana wa kujiokoa.ound:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.