Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,213
- 10,940
Huyu umemtoa wapi? Unayemuiongelea kwa sasa ni kama mwanamke mrembo, mwenye maungo yote na weupe wa ngozi. Angalieni links hapo.
Huyu umemtoa wapi? Unayemuiongelea kwa sasa ni kama mwanamke mrembo, mwenye maungo yote na weupe wa ngozi. Angalieni links hapo.
Basi ni wewe Makonda ulipokamatwaga wakati wa kesi yako na Meya Jacob pamoja na Said Kubenea.ππππππ
Shoga mwenzako kaumbuliwa Nenda kamteteeMioyo ya watu ni michachu mno.
Wanafurahia kuona mtu kachakaa, kapigika na anatesekaa kweli kweli basi viroho vyao kwatu.
Sijui ni uchawi wa kurithi π₯΄
Kumekucha Coca
Kwanini unapinga mkuu? Yaani wewe unamjua Bob nje ya social media na make ups kuliko wanaijeria waliopost huyo na kusema huyo ni yeye?This is not him, is false information
Hahaaaaaa wanamkataa leo kwa kuwa hawajawahi muona Idris katika uhalisia wake.Shoga mwenzako kaumbuliwa Nenda kamtetee
Kimsingi bila kuwa na Mapepo huwezi fanya hivyo. Hata wao kupumuliwa ni lazima wawe na mapepo lasivyo ni ngumu mjuba kukubali kupumuliwa.Unawezaje kumpulia kisogoni kiumbe mwenye ngozi ngumu kama huyo?
Ndiyo mkuuWewe umewahi muona akiwa hana make up?
Kama wewe ulivyo na hasira, wivu na husda na Madaktari wa nchi hii. Inatakiwa ujue mashoger ni watu wasiovumilika wala kutakiwa na jamii ya nchi hiiHuyo sio bob πππ
Nimegundua watu ni psychopaths kweli kweli!!! Sasa hapo kinachokufurahisha ni nini kuona mtu anapoteseka? Hata kama sio bob, kinachokufurahisha ni nini?
Hii nchi kianzishwe kitengo cha ugonjwa wa akili, vijana wana hasira balaa.
Mfano Ndo jamaa anamkula afu mshikaji hajaelewa show yake hapo lazima akugeuze πImagine na hiko kitambi na sura ilivyo kavu π€£π€£π€£
Huyo anaweza kukukata mtama akule mwenyewe ukimzingua
ππππππππππWewe mbona wifi analala na mirasta bila kuvaa kofia ya kulalia?? Halafu mpe pesa ya saloon mirasta imechakaa hiyo π€£π€£π€£
Hapo mba km zote!! Nahisi akiingiza kidole kujikuna anatoka na unga π
Haya weka picha yako sasa tuone
Akikugeuza unapokea hogo kwa mikono miwili na kusema swadaktaa baba nikule na mimiMfano Ndo jamaa anamkula afu mshikaji hajaelewa show yake hapo lazima akugeuze π
Leo ni siku mpya. Bifu liliisha jana, tufurahie Jumamosi ambayo Mungu ametupa mkuu. Ya jana ni ya jana, leo ni siku mpya.ππππππππππ
Huyu kitunguu maji ataweza wapi kuhudumia mwanamke na ufupi wake huo ndio mana mkewe ana chawa kisogoni π±π±π±π± ndoa ni za watu warefu jamaniii nimechekaaaa alafu kafuta fastaaa ππππππΉπΉππ
Mashoga tukuka haoAiseeee, alone cocastic bila kumsahau BICHWA KOMWE -