Halali waziri kuapishwa uwakili wa kujitegemea wakati ni mtumishi wa umma? Chikawe!

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,890
6,898
Chikawe%2Bakipongezwa%2Bna%2BCJ.JPG

Waziri wa Katiba na Sheria Mathias Chikawe akitunukiwa Uwakili na
Jaji Mkuu Othman Chande katika hafla ya kuwatunuku
uwakili wanasheria wa serikali iliyofanyika leo jijini Dar es salaam

Waziri Mathias Chikawe ameapishwa na jaji Mkuu Chande kuwa wakili wa kujitegemea wakati akiwa mtumishi wa umma kama waziri. Je, kama sheria zinaruhusu hivyo, lakini ni jambo jema kiutendaji? Lini atafanya uwakili wakati anakuwa na majukumu ya kutumikia umma?
 
Hata mwaka Jana Maalim (Naibu Waziri) Mambo Nje aliapishwa kuwa wakili.hilo suala limejadiliwa kwa kina na kuamriwa jinsi itakavyokuwa ili kuepusha mgongano wa maslahi,iko wazi nadhani wadau wa ndani wa sheria walioko hapa watatusaidia huo waraka wa ufafanuzi!
 
Tanzania ni nchi ya kula; hata sheria za nchi na taratibu za serikali zimetungwa kikulakula tu. matokeo ya Azimio la Zanzibar: ambayo watu wake hawaipendi serikali hii ya muungano inayojiendesha kigoigoi tu!
 
Hata mwaka Jana Maalim (Naibu Waziri) Mambo Nje aliapishwa kuwa wakili.hilo suala limejadiliwa kwa kina na kuamriwa jinsi itakavyokuwa ili kuepusha mgongano wa maslahi,iko wazi nadhani wadau wa ndani wa sheria walioko hapa watatusaidia huo waraka wa ufafanuzi!

Binafsi naona kunaweza kuwepo mgongano kiwajibikana na kiutendaji. Kama hakuna sheria inayozuia jambo hilo lakini ni busara ya kawaida tu. Hata mbunge tu jambo kama hilo lisingefaa.
 
..nadhani wameapishwa kuwa mawakili wa mahakama kuu, na mahakama ya rufaa ya Tanzania.

..labda wanajiandaa kuanzisha shughuli zao binafsi mara watakapoachana na siasa.
 
Hata mbunge tu jambo kama hilo lisingefaa.

Kwani yule Nimrod Mkono si mbunge yule? Halafu si ni wakili pia....halafu tunaambiwagwa kuwa ni bonge la lawyer...yaani super lawyer (ingawa mimi nasemaga super lawyer my azz....hana u-super lawyer wowote). Kwanza bongo kuna super lawyers? I don't think so.
 
Kwani yule Nimrod Mkono si mbunge yule? Halafu si ni wakili pia....halafu tunaambiwagwa kuwa ni bonge la lawyer...yaani super lawyer (ingawa mimi nasemaga super lawyer my azz....hana u-super lawyer wowote). Kwanza bongo kuna super lawyers? I don't think so.

Wewe kama unataka jua kama mkono ni super lawyer au siyo chukuwa kesi ambayo wewe utakuwa upande mmoja yeye mwingine, ndo utathibitisha kauri yako.

Suala la uwakili ni mitihani wanafanya na kupewa status hiyo, ambayo kama mjumbe mchangiaji mmoja alivyosema mtu anajiandaa na maisha after public service, mbona Magufuri alipopata PHD katika chemistry hamkuhoji? Au hamna interest nayo au kwa vile ni kipenzi cha wengi?
 
Wewe kama unataka jua kama mkono ni super lawyer au siyo chukuwa kesi ambayo wewe utakuwa upande mmoja yeye mwingine, ndo utathibitisha kauri yako.

Suala la uwakili ni mitihani wanafanya na kupewa status hiyo, ambayo kama mjumbe mchangiaji mmoja alivyosema mtu anajiandaa na maisha after public service, mbona Magufuri alipopata PHD katika chemistry hamkuhoji? Au hamna interest nayo au kwa vile ni kipenzi cha wengi?

Hana lolote huyo Mkono zaidi ya kutuhumiwa kujihusisha na ufisadi.
 
Binafsi naona kunaweza kuwepo mgongano kiwajibikana na kiutendaji. Kama hakuna sheria inayozuia jambo hilo lakini ni busara ya kawaida tu. Hata mbunge tu jambo kama hilo lisingefaa.

Tumtendee haki Mh Chikawe.
Kujindeleza kitaaluma ni utashi wa mtu, kupata uwakili inabidi usomee tena sheria za uwakili.
Na hapo unakuwa a proffessional advocate.
Hilo halimaanishi umekwisha anza kazi ya uadvocate- ina maana UPEO wako wa kuja masuala ya sheria umekuwa mpana.
Mimi nilukwepo hapo jana wakiapishwa mawakili.
Na ubunge ukiisha je? Ndio mtu unaanza kutafuta uwakili ili kupractice?
Hiyo ni kukumbuka shuka tayari kumekucha.
Nampongeza adv Chikawe na wengine walio pata veti vyao kana.
 
mawaziri wanaapishwa, ila watumishi wa serikali wanaambiwa wachague uwakili au Utumishi!
This kantri kwa double standards!
 
mawaziri wanaapishwa, ila watumishi wa serikali wanaambiwa wachague uwakili au Utumishi!
This kantri kwa double standards!

We jamaa hebu wacha kuturusha hapa; mie bro wangu ni mtumishi wa serikari na ni mwaka jana tu kaapishwa kama Wakili.
Sasa sijui wamaanisha ni watumishi wa serikali gani au wa ngazi zipi ambazo wanatakiwa kuchagua!!
 
mawaziri wanaapishwa, ila watumishi wa serikali wanaambiwa wachague uwakili au Utumishi!
This kantri kwa double standards!


Wapo watumishi wa umma kama maofisa wa PCCB, wanasheria wa serikali na wafanyakazi wa wizara mbalimbali waliopishwa pia.
 
chikawe ni mwanasheria tena sio wa jana wala juzi,amesomea sheria miaka mingi iliyopita ,anazijua sheria za nchi.sasa unategemea angekubali kuvunja sheria kirahisirahisi tu kama ingekuwa hairuhusiwi?!uwaziri unapita,ila uwakili haupiti!je akistaafu uwaziri?
 
  • Thanks
Reactions: mka
chikawe ni mwanasheria tena sio wa jana wala juzi,amesomea sheria miaka mingi iliyopita ,anazijua sheria za nchi.sasa unategemea angekubali kuvunja sheria kirahisirahisi tu kama ingekuwa hairuhusiwi?!uwaziri unapita,ila uwakili haupiti!je akistaafu uwaziri?
Mkuu si watu wengi humu JF wanaoweza ku-think critically!
Michango mingine katika thread hii haina hata iota ya proffessional orientation.
 
  • Thanks
Reactions: mka
Wengine wanaapishwa lakini hawapewi practsing certificate inategemea na chombo au Taasisi anayofanyia kazi.
 
Back
Top Bottom