Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,898
Waziri wa Katiba na Sheria Mathias Chikawe akitunukiwa Uwakili na
Jaji Mkuu Othman Chande katika hafla ya kuwatunuku
uwakili wanasheria wa serikali iliyofanyika leo jijini Dar es salaam
Jaji Mkuu Othman Chande katika hafla ya kuwatunuku
uwakili wanasheria wa serikali iliyofanyika leo jijini Dar es salaam
Waziri Mathias Chikawe ameapishwa na jaji Mkuu Chande kuwa wakili wa kujitegemea wakati akiwa mtumishi wa umma kama waziri. Je, kama sheria zinaruhusu hivyo, lakini ni jambo jema kiutendaji? Lini atafanya uwakili wakati anakuwa na majukumu ya kutumikia umma?