mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 977
- 176
Naamini wanaume wengi huwa hawakapendi haka katabia....unakuta umepanga kuonana na mdada labda geto au mmepanga na mmekutana sehemu lakini muda si muda utaskia mdada anaanza mara ooh unajua mi sikai sana nataka kuwahi, mara ooh ntatafutwa nyumbani...mtu ushakua kwenye mood nyingine afu na yeyd ndo anaanza na kipresha cha kuondoka...yani inakera sana...hivi zile huwa ni mbwembwe au nini?? Kama huna nafasi si ucje kabisa?? Ebo