FAIRATTORNEY
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 219
- 60
Leo serikali yetu sikivu imetoa tamko maridhawa kabisa, kwamba hakuna tatizo la ajira hapa nchini mikazi na mifursa kibao.
Ni kwamba tatizo linakuzwa tu na wanasiasa kwa maslahi yao binafsi na vijana wote mnaotapatapa mitaani ni wambea tu.
Ni kwamba tatizo linakuzwa tu na wanasiasa kwa maslahi yao binafsi na vijana wote mnaotapatapa mitaani ni wambea tu.