Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 341
- 892
Hakuna Mwanaume malaya, Wanaume wengi wanapitia magumu kwenye utaftaji wanajinyima wasile ili familia zao zipate. Mwanaume ni mtawala wa Mwanamke siku zote ni lazima aheshimiwe. Wanawake wasitarajie kabisa kuwa sawa na Wanaume, Mwanaume siku zote ni mtawala wa Mwanamke
Wanaume wengi wanakimbia nyumba zao kwasababu ya midomo na maneno machafu kutoka kwa wake zao, Wanaume hawapendi. Lakini pia kuna wanaume wanapigwa na wake zao ila wanaogopa kusema, natamani niwe mtetezi wao na yote ni kwamba tatizo la Wanaume wengi wa hapa Bongo wanapenda sana kuteleza au kupewa vya bure na Wanawake, waache uvivu watafute pesa.
Sababu kubwa ambayo ilinipelekea nianze kutetea Wanaume, nakumbuka siku moja nilikuwa nipo ofisini Kariakoo, kuna kaka mmoja alikuja akaniambia ("unajua kuna wakati mwingine narudi nyumbani sina hela kabisa, au wakati mwingine sili mchana sili asubuhi ile hela ambayo naipata huenda ni elfu 5 au elfu 10 naibana nikampatie Mke wangu. Lakini nikirudi nyumbani labda nimempatia Mke wangu elfu 5 lakini Mke wangu hatosheki ananirudishia pesa na maneno ya kashfa kwamba ndio pesa gani hii unaniletea tangu ulipoondoa asubuhi unakuja na pesa kama hii!!)"
Kwahiyo yule kaka alikuwa anaishi kwenye maumivu alafu hasemi na hawezi kumwambia mtu yoyote kwasababu ni Mke wake. Nikamuuliza kwa mfano Mungu akisema waliopo kwenye ndoa watoke wewe utatoka? akaniambia yani mimi ndio nitakuwa wa kwanza kutoka kwenye ndoa kwasababu sasa hivi naishi kwenye ndoa kwasababu ya watoto.
Kuanzia hapo niliingiwa na huruma nikaamua kuwatetea Wanaume
Viola Mtetezi na msanii wa maigizo.
Wanaume wengi wanakimbia nyumba zao kwasababu ya midomo na maneno machafu kutoka kwa wake zao, Wanaume hawapendi. Lakini pia kuna wanaume wanapigwa na wake zao ila wanaogopa kusema, natamani niwe mtetezi wao na yote ni kwamba tatizo la Wanaume wengi wa hapa Bongo wanapenda sana kuteleza au kupewa vya bure na Wanawake, waache uvivu watafute pesa.
Sababu kubwa ambayo ilinipelekea nianze kutetea Wanaume, nakumbuka siku moja nilikuwa nipo ofisini Kariakoo, kuna kaka mmoja alikuja akaniambia ("unajua kuna wakati mwingine narudi nyumbani sina hela kabisa, au wakati mwingine sili mchana sili asubuhi ile hela ambayo naipata huenda ni elfu 5 au elfu 10 naibana nikampatie Mke wangu. Lakini nikirudi nyumbani labda nimempatia Mke wangu elfu 5 lakini Mke wangu hatosheki ananirudishia pesa na maneno ya kashfa kwamba ndio pesa gani hii unaniletea tangu ulipoondoa asubuhi unakuja na pesa kama hii!!)"
Kwahiyo yule kaka alikuwa anaishi kwenye maumivu alafu hasemi na hawezi kumwambia mtu yoyote kwasababu ni Mke wake. Nikamuuliza kwa mfano Mungu akisema waliopo kwenye ndoa watoke wewe utatoka? akaniambia yani mimi ndio nitakuwa wa kwanza kutoka kwenye ndoa kwasababu sasa hivi naishi kwenye ndoa kwasababu ya watoto.
Kuanzia hapo niliingiwa na huruma nikaamua kuwatetea Wanaume
Viola Mtetezi na msanii wa maigizo.