Hakuna Matata Beach Lodge - ZNZ

Hoteli hii inamilikiwa na Mjerumani. Ipo KM 15 kazkazini mwa Stone Town, Zanzibar (nusu saa kwa taxi kutoka feri). Villa inaanza US$80 / TShs 175,000 kwa siku.

de7f5666adac1199091a0363b0790818.jpg


bcc796aec0e8067554ec387a0726bb84.jpg


068de9538ee6930eb1c4896279f302cd.jpg


b71af475eaa9e1834ee26cab4d591cfb.jpg


63eae4db0a9daadcad993d7bfe2b60e5.jpg


80dce339ffaea5b621dbebf603e6d987.jpg
Napafahamu hapo ni pa kawaida sana.....IPO maeneo ya Bububu
 
Kuanzia leo naacha starehe za hovyohovyo nasave kwa ajili ya safari moja au mbili kwa mwaka kwenda kula maisha wiki moja kwenye hoteli kama hizi..
 
Dah!! Umasikini mbaya sana....sehemu kama hizi ndio za kwenda kupoteza mawazo na kupooza nafsi.....

Badala yake tunaishia kuogolea kwenye fukwe za coco beach....unaogelea huku kichwa kiko juu kama jogoo....ukirinda nguo...zako maana unaweza ukarudi nyumbani na kibukta ulichokuwa umevaa wakati unaogelea........


Mungu nijaalie kipato cha kuweza kumudu kufika mahali hapo kujumuika na binaadamu wenzangu.....

Amen.....
 
Bei na sehemu yenyewe ni fair,ukiwa na mil 1 unapumzika siku 3 vizuri kabisa
 
Dah ingekuwa Enzi zile mbona ningevamia tu hicho kiwanja ila kwa usawa huu wa sasa ngoja tu niwe mpole.
 
Dah!! Umasikini mbaya sana....sehemu kama hizi ndio za kwenda kupoteza mawazo na kupooza nafsi.....

Badala yake tunaishia kuogolea kwenye fukwe za coco beach....unaogelea huku kichwa kiko juu kama jogoo....ukirinda nguo...zako maana unaweza ukarudi nyumbani na kibukta ulichokuwa umevaa wakati unaogelea........


Mungu nijaalie kipato cha kuweza kumudu kufika mahali hapo kujumuika na binaadamu wenzangu.....

Amen.....

Ndo maisha mkuu, wakati wewe unaandika hivi, kuna mdau juu kasema it is very affordable!
 
Back
Top Bottom