Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,862
- 5,680
Hivi mama gani mwenye akili na uchungu wa Mali za familia anaweza akazigawa Mali za familia yake kwa majirani halafu awaambie watoto wake wasubiri mali hizo zikisha wanufaisha majirani na wao watapata faida?
Mama wa namna hiyo hana uchungu na Mali za familia na ni mama mwenye chuki na choyo binafsi. Kwa kweli kufiwa na mzazi wako ni pengo kubwa sana. Nguo ya kuazima haisitiri matako na mama wa kambo si mama.
Maendeleo hayana vyamaa.
Mama wa namna hiyo hana uchungu na Mali za familia na ni mama mwenye chuki na choyo binafsi. Kwa kweli kufiwa na mzazi wako ni pengo kubwa sana. Nguo ya kuazima haisitiri matako na mama wa kambo si mama.
Maendeleo hayana vyamaa.