Negative
Member
- Dec 26, 2010
- 17
- 0
Pamoja na yote ambayo chama tawala na jeshi la polisi wanasema kuhusiana na vifo vya ndugu zetu pale arusha, nafsi yangu inawatambua watu hawa kama mashujaa wa kweli katika ukombozi wa KWELI katika nchi hii, damu yao haijamwagika bure, siku moja italeta uhuru.. Mungu na aziweke pema roho zao