kazuramimba
Senior Member
- Jun 14, 2011
- 126
- 57
Baada ya kipindi cha hofu nyingi hatimae sasa nimepumua.UKWELI ni kwamba niliugua sana kipindi najiandaa na mtihani wa form six.kutokana na hali hii matokeo yangu hayakuwa mazuri kwani nilipata div 3 ya 16.Kutokana na hofu nilichagua kozi za education zote but kutokana na competition nikawa not enligible so ikabidi nichague course kipenzi changu ya moyoni nayo ni account pale IAA.MUNGU si athuman nikapata na mkopo wamenipa Mil 2,732000 japo si nyingi ila nimefurahi sana.HAKIKA BODI YA MIKOPO IDUMU MILELE NA MILELE AMINA.