Haki mwanamke katika penzi kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja

MsemajiUkweli

JF-Expert Member
Jul 5, 2012
13,171
23,976
Kama kweli jamii yetu inajiendesha na kusimama katika misingi ya haki na usawa, kwa nini inakuwa ni taboo au kiini macho pale inapogundulika mwanamke kuwa ana mahusiano na mwanaume zaidi ya mmoja. Kwa nini mwanamke asipewe haki sawa ya kuolewa na mwanaume zaidi ya mmoja.

Kama sivyo, basi na wanaume wasiruhusiwe kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja au wasiwe na kasumba ya kuwa wao kuiba pembeni ni sawa na kwamba wanawake wako tayari kuwasamehe pindi wakigundulika lakini kwa mwanamke kufanya hivyo ni NO, NO, NO na talaka.

Kisa cha mwanamke anayeitwa Veronica Saleh 'Mama Kaela' anayeishi katika kijiji cha Ikandamoyo, jimbo la Katavi, kama ilivyolipotiwa katika gazeti la Habarileo kuolewa na wamaume wawili kinatufundisha jambo kuu na la msingi kuwa hili linawezekana katika jamii yetu. Kama haliwezekani basi lisiwezekane kwa wote (mwanaume na mwanamke).

Kama tunakubali binadamu ni sawa na haki kwa wote basi haki hiyo iwe ni sawa kwa binadamu wote.
 
Hivi mmeo/boyfriend wako anakuwaga mwezini? au anapataga mimba na kujifungua?
Aiseeeeeee
 
aah! sasa kama tukipeleka haki huko tuanishia pabaya.

Labda niseme hivi mwanamke health wise siyo safe kujiingiza katika multiple relations manake anaweza kupata magonjwa mengi sana ya uzazi na hata ya akili ama ya kisaikolojia. mwili wa mwanamke anayefanya ngono na wanaume wengi huweza kuonekana kabisa machoni manake hata nyama za mwili hulegea kabla ya wakati na ngozi ya uso husinyaa. ngozi ya tumbo nayo hujikunja kama vile mtu anayeumwa marasmaus na hii iko scientifical proved niliipata kwenye semina moja nilohudhuria so kiafya tu sishauri iwe hivi.

istoshe moto hauzimwi kwa moto ila kwa maji so kama nia ni kuleta usawa basi tulete kwa tyale yenye tija na si yale ambayo kabisa yanaonekana hayana tija.
 
Hivi wewe mwanamke ikiwa utaolewa na wanaume wanne, icho ka Black hole chako kitakuaje? Mi naona mwisho utakua na kisima chenye tundu kubwa kiasi kwamba Pipe ya mwanaume ata ikiingia hupati raha wewe wala mmeo! Pipe ya mwanaume hata kama itakuwa inakinga maji visima vinne kwa wakati mmoja, haitobadilika umbo wala nini, lakini kablack hole chako kikiingizwa pipe mbili tu basi kwisha! Lakini kwa vile wewe myoa mada unapenda, haina shida, mumeo hataki, lakini kuwa na vibyofrnd wanne, kisha waruhusu wakuingilie wote hao, japo owa nyakati tofauti! Nafikiri majibu utayapata
 
  • kuna dini inayosema 1 man 1 woman
  • kuna dini inayosema 1 man 4 women
  • kuna makabila yanayosema 1 man XX women
  • hakuna kabila linalosema XX man 1 woman
huo usawa unaotaka MU haupo
 
Mbona mwataka makuu ati!
Sasa mtoto akizaliwa hapo si foleni kwenye mashine za kufanyia test za DNA?

Father Father Father come back or send some guidance from above maana watu wako huku wanazidi kupotea! KHA!
 
mwili wa mwanamke anayefanya ngono na wanaume wengi huweza kuonekana kabisa machoni manake hata nyama za mwili hulegea kabla ya wakati na ngozi ya uso husinyaa.

unapo-refer nyama za mwili kulegea, i presume mpaka zile za 'k' zinahusika maana at the end of the day, hizo multiple stresses zote toka kwa midume kadhaa inabidi ziwe concentrated hapo...
 
aah! sasa kama tukipeleka haki huko tuanishia pabaya.

Labda niseme hivi mwanamke health wise siyo safe kujiingiza katika multiple relations manake anaweza kupata magonjwa mengi sana ya uzazi na hata ya akili ama ya kisaikolojia. mwili wa mwanamke anayefanya ngono na wanaume wengi huweza kuonekana kabisa machoni manake hata nyama za mwili hulegea kabla ya wakati na ngozi ya uso husinyaa. ngozi ya tumbo nayo hujikunja kama vile mtu anayeumwa marasmaus na hii iko scientifical proved niliipata kwenye semina moja nilohudhuria so kiafya tu sishauri iwe hivi.

istoshe moto hauzimwi kwa moto ila kwa maji so kama nia ni kuleta usawa basi tulete kwa tyale yenye tija na si yale ambayo kabisa yanaonekana hayana tija.

Ninashindwa kukuelewa vizuri.

Kwa hiyo una maanisha mwanaume kiafya na kisakologia haathiriki akiwa katika mapenzi mchanganyiko? Hapa bado hujasema!!

Kumbuka, I'm not talking a woman to be prositute na katika mapenzi, siyo kila mara kugongoana(sex). Kuna watu wengi tu ambao wako katika mapenzi haswa bila kuwa tegemezi wa ngono. Jaribu kutokuangalia ngono kama ndiyo msingi wa mapenzi na ndipo utapata fikra halisi ya thread
 
  • kuna dini inayosema 1 man 1 woman
  • kuna dini inayosema 1 man 4 women
  • kuna makabila yanayosema 1 man XX women
  • hakuna kabila linalosema XX man 1 woman
huo usawa unaotaka MU haupo


Je, huo ndiyo usawa? Kumbuka vilevile, kulikuwa na nchi iliyokuwa inasema, 1 party 1 government, what happen now?
point yangu ni kuwa, society always change. Unaweza ukapenda kuita maendeleo au whatever
 
Ninashindwa kukuelewa vizuri.

Kwa hiyo una maanisha mwanaume kiafya na kisakologia haathiriki akiwa katika mapenzi mchanganyiko? Hapa bado hujasema!!

Kumbuka, I'm not talking a woman to be prositute na katika mapenzi, siyo kila mara kugongoana(sex). Kuna watu wengi tu ambao wako katika mapenzi haswa bila kuwa tegemezi wa ngono. Jaribu kutokuangalia ngono kama ndiyo msingi wa mapenzi na ndipo utapata fikra halisi ya thread

unaelewa maana ya ndoa pamoja na tendo la ndoa?
 

Father Father Father come back or send some guidance from above maana watu wako huku wanazidi kupotea! KHA!

cummon, give me a break. Remember, not everyone is a believer in what you believe. Myself, I believe theres no Father somewhere in heaven but it doesn't mean, i don't respect your believe. Your free to believe whatever but your entitled also to respect other peoples believe
 
unaelewa maana ya ndoa pamoja na tendo la ndoa?

Hakuna msamiati mmoja wa nini maana ya ndoa lakini kulingana na mawazo yako ambapo unafiliki ndoa is only equal to sex.

Ndiyo, sex ni tendo la ndoa lakini halisimami pekee katika mapenzi ya watu wanaopendana. Kuna vitu vingi tu vinavyojenga penzi na kuna watu wengi tu wanaopendana bila kutegemea sex kama ndiyo mhimili wa penzi lao.
 
Back
Top Bottom