Haji Manara asaidiwe kabla ya kuanza kuokota makopo na chupi kichwani

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,680
106,017
Screenshot_20210815-183545_Chrome.jpg


Ukiachwa achika

Vijembe anavyorusha kwa Mo Dewji na Simba Sc na bado hajibiwi vinaweza kumfanya huyu mtu akawa data na kuanza kuokota makopo. Hatua aliyofikia ni mbaya sana hakuna tofauti yeyote na mtu ambaye wehu ndo umeanza kuingia ingia, ameanza kutembea bila viatu amekushikilia suruali kiuoni haina mkanda.

Nawashauri wanasaikolojia na ndugu za karibu kumsadia. Hata wanaomtumia wajaribu kumuweka sawa kiakili kabla ya kumtumia. Kichaa haaminiki, muda wowote anaweza kukugeuka.
Marakifi wa kweli ni wale wanaoweza kumwambia rafiki ukweli wa kumsadia badala ya kumchekelea.

Imagine unaweza kumsingizia mtu uongo wa kiwango hiki. Achana na timu ya mpira, hata kampuni ya mfukoni tu ya mfanyabiashara aliyeanza biashara juzi hawezi kutengeneza logo yenye picha yake sembuse Mo Dewji.

Nataka kuamini Simba Sc imemtimua Haji Manara kwa sababu ya matatizo ya akili, lakini haikutaka kuweka wazi.
 
Huyu kaisha kata ringi, na mwisho wake ndo huu. Kabla hakuingia simba hakuna aliyemjua manara na saizi katoka hakuna atayejishughulisha naye

Hivi vijembe dhidi ya Mo ni kujaribu kuwaonesha watu kua naye yupo anasikika na anaweza kukiki bila kuwa katika department ya soka pale simba
 
Huyu kaisha kata ringi, na mwisho wake ndo huu. Kabla hakuingia simba hakuna aliyemjua manara na saizi katoka hakuna atayejishughulisha naye

Hivi vijembe dhidi ya Mo ni kujaribu kuwaonesha watu kua naye yupo anasikika na anaweza kukiki bila kuwa katika department ya soka pale simba
umaarufu ulikuja kwa sababu ya vijembe kwa Yanga, sasa hawezi kupiga Yanga vijembe,anakosa plan B ya kukik
 
Back
Top Bottom