IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,448
- 2,289
- Thread starter
- #221
Dada angu Nilishtuka baadae saaanaKuwa tuu story writter maana ni umenifanya nisimamishe kazi nisome maana inanoga
Lakini wakaka lazima kitu cha kwanza mjue ukiona demu anakuomba omba pesa hovyo bila huruma ujue hana mapenz na wewe hivo ndivo wanawake tulivo
Afu kingine ukiona mtu haeleweki ata kama unapenda vip jitahidi kuondoma mapema sabab kadri unakaa utavuna maumivu ambayo kisasi chake ni kama hiko 👆