KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Wana jf nina mdada nilipenda kwasababu zilizopo njeya uwezo wangunikajikuta tumetengana!!ila nimekuwa nikimuwaza kila mara na tunawasiliana ila kwakipindi nilichokuwa sipo naye najua atakuwa na mtu kwani ni zaidi ya miaka2 je niendelee kumsumbua ili nirudiane naye??mimi nampenda!!