ngonzi zomukama
Senior Member
- Apr 13, 2010
- 170
- 5
mdada ana ibu jamani ni mojawapo ya haiba za mwanamke
he he poa tu si unakua selebrity wa JF bana,usitukate stimuKwa wanaume - hivi utakapofungua picha kama hii ukute ni mkeo/dada yako/Girl Friend wako, utareact vipi?
Kwa wadada - hivi ukijikuta ni wewe mwenyewe live utareact vipi?
..Mwana umekula senski si mchezo ila mi thithemi...mie nimezimia maupaja na aibuu
wasabato masalia na mujahidina utawajua tu.anaogopaa angekuwa amevaa nguo za heshima asingeogopa hapo tatizo yupo nusu uchi na kuna watu wanamfahamu ndo mana kaamua kuficha uso.hivi msichana kupendwa ni mpaka avae vinguo vya ajabu? Akivaa gauni lake au suruali yake isiyombana au sketi ndefu ya heshima hatapendwa?dada zetu punguzeni kuiga.mavazi mara nyingi humwelezea mtu alivyo mtabaki kulalamika hamna bahati ya kuolewa.wanaume wameshtuka.mtabaki vyombo vya starehe then wanawatosa.
Kwa wanaume - hivi utakapofungua picha kama hii ukute ni mkeo/dada yako/Girl Friend wako, utareact vipi? Kwa wadada - hivi ukijikuta ni wewe mwenyewe live utareact vipi?
mmh!!! mwenyewe kakaa kwenye kigoda.......paja hihaa!! lakini makovu kwenye magoti!! duh!