Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,142
hapo ndio kama zile Riziki ya mtu haivutwi kwa kamba kama yako yako tu....
Daaah hii nimeipenda sana, MAPENZI YAHASHIKILIWI KWA PLASTA, King'asti hili nalo neno! Maana plasta huwa inaishaga nguvu na huchakaa so haina budi kuachia. hahahhaahah!Hahaha umenikumbusha shosti alikuta msg ya hawara kwenye simu ya mume 'mapenzi hayashikiliwi kwa plasta'. Hawara mwenyewe keshahangaika nae for yrs. Ilimsaidia kumoveon emotionally