KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 88
Ndugu yangu, muamini Mungu lakini funga na funguo milango ya gari lako, usije ukaenda bongo kichwa kichwa!
Naanza kuogopa sasa bongo tukiendelea na mafisadi Bongo inaweza kuogopesha kuliko hata South africa. Hapa inaonekana Bongo Mtu anakumaliza huku anacheka.