Habari Mbaya kwa wanaotafuta kazi- Hakuna ajira mpya mwaka huu ila kwa Walimu na Madaktari

dossa! dossa! dossa!


Mmhhh! bila shaka wewe umesoma arts, maelezo unayojaribu kutoa kwa mchumi ungepata zero! matumizi ya serilkali yanapoongezeka ndo ajira zinapatikana, pesa inanyokaa bank mtanzania wa hali ya chini hawezi kuwa na fainda nayo! selikali ikitumia pesa {increase expenditure}katika shughuli za maendeleo watanzania tutaneemeka. tatizo kubwa kwa selikali ya tanzania ni kwamba pesa zake zinatumika katika shughuli ambazo si za kimaeendeleo, baathi yake zinaishia tumboni mwa wachache na nyingine ni politics!
"saving" halitakiwi kuwa neno la kutanguliza kama tunaitaji maendeleo, let us encourage people and govt to use their cash for investmnt so that everybdy can enjoy the national cake!
sorry sir this is not an offence
 
Jana jioni nilikuwa kijijini kwetu. Nikiwa namshauri mdogo wangu alihitimu kidato cha sita nini akasome Chuo kikuu mara ujumbe unaingia kwenye simu yangu
"HAKUNA AJIRA MPYA WALA KUPANDA VYEO MWAKA HUU, AJIRA ZILIZOPO NI UALIMU NA UDAKTARI TU".
Ujumbe ulitoka kwa rafiki yangu ambaye yupo kwenye reliable source of news.
Sababu ni zilezile, ukata ulioikumba serikali. Hali ni mbaya kuliko tunavyofikiri. Kwa watakaoshindwa kupanda vyeo mwaka huu inaweza isiwe tatizo ila waombaji wapya wa kazi.... Sijui!
hizo habari za kweli????????!!!!!..mbona tume ya ajira inatangaza ajira kilia cku...hivi karibuni auditors 100 wataajiriwa na NAO
 
Hali hii kwa kwa kweli inawaweka vijana katika wakati mgumu sana,sawa kuna kujiajiri lakini mtaji uko wapi!je tukiwa wote wajasiriamali si ndiyo tutafukuzwa jijini maana tutavamia maeneo ya wazi na barabarani. Serikali iwe na huruma kwa hili.
 
Hatari jamani mi nangoja hiyo 2015 tuone kama kweli mtafanya mabadiliko maana!
 
Kwa mantiki hiyo, kwani ajira zipo serikalini tu? Mbona "private sector" ndio muajiri mkubwa zaidi ya Serikali.



Tuliambiwa serikali haina pesa, Mkulo na wenzie wakaanza kulia oooh! pesa zipo.

Sasa i kwamba hamna ajira tu bali hata semina pia ni mshikemshike!

Serikali haina malengo kabsaaaa.......

Kaazi kwelikweli
 
Hauko specific!Topic yako itafanya watoto wasiende prep.Mbona hivi majuzi Serikali ilitangaza mwaka huu wa fedha itaajiri watumishi wa Kada za Kilimo kwanza(Wazee wa SUA) 5000 Na Ushei!
Kazi zipo we sema si kama zile za kujaza watu Diamond Jubilee!
Mkweche nimejiari!
 
Hapa ndipo utakapojua aina za elimu tunazosoma. Makelele meengi na "degree" zetu. Degree kwenye makaratasi, kichwani hakuna independence. Viingereza viiingi vya kutazamia tamthilia na kuwatisha makonda.

ha ha haaaaaaaaaaaa
 
Hauko specific!Topic yako itafanya watoto wasiende prep.Mbona hivi majuzi Serikali ilitangaza mwaka huu wa fedha itaajiri watumishi wa Kada za Kilimo kwanza(Wazee wa SUA) 5000 Na Ushei!
Kazi zipo we sema si kama zile za kujaza watu Diamond Jubilee!
Mkweche nimejiari!
Afadhali kujipa matumaini yasiyokuwepo. Ni hivi majuzi tu serikali ilitangaza kuchukulia hatua mafisadi, yako wapi? Ikatangaza kushusah bei ya mafuta badala yake sasa mafuta yanauzwa bei ya juu na hayapatikani....Pragmatic society with double talk
 
Back
Top Bottom