SAYANSIKIMU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2014
- 1,132
- 260
SHIDATUPU alikuwa na mkewake lakini kila alfajiri SHIDATUPU alikuwa anajamba kwa nguvu kwa makusudi kabisa.Mkewe alikuwa anachukizwa sana na tabia hiyo alimwonya mara nyingi lakini SHIDATUPU alikuwa anaendelea na mchezo.Mkewe akamwambia wewe endelea na mchezo wako ipo siku ukija kujamba utatoa na utumbo SHIDATUPU akamcheka sana.Basi siku moja kabla hakujapambazuka mkewe akadamka kimyakimya akaenda akachinja kuku akatoa utumbo wa kuku baada ya hapo huku mumewe SHIDATUPU akiwa amelala mkewe akachukua madawa ya usingizi akampulizia mumewe ili alale fofofo kabisa alipo maliza kumpulizia madawa ya usingizi mkewe akachukua utumbo wa kuku ule mnenemnene na kuuweka panapohusika(TAFSIDA IMETUMIKA) kwa mume wake basi baada ya hapo mkewake akawahi sana kwenda kazini bila kumuaga mume wake.Basi mume wake akaamka kama kawaida yake akajamba kwa nguvu sana safari hii baada ya kujamba akahisi kama kunakitu kuangalia akakuta utumbo umemtoka .Hakuamini macho yake akaenda kujiangalia kwenye kioo akakuta utumbo .INAENDELEA