Munkari
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 8,084
- 4,351
Aiseee ! Wacha nifurahi mwalimu miye! Kwa walosoma uzi wangu wa kuchoka mwili na roho watakuwa wanaelewa nini kinachoendelea hapa!........ ndo hivyo tena nshahama huko porini nipo kituo kingine kabisaaaa!! Full umeme maji usiseme,yani nikiangalia huku bonge la hospital,hapa kanisa,magari hadi mlangoni (kwanini nisiende mjini?)hewa saafi kabisa DAR kufanya nini?(huko shule tu na kusalimia hiyo mifoleni nani anataka? wee tutabanana hukohuko)......... Yani kweli msuli wote ule,mbu wamenifaidi,nimekoswa na misap afu muda umefika wa kurelax nakutana na eti poor mazingira thubutuu nani kasema! wamenibembeleza wenyewe!! Nchi yangu,maisha ni yangu yanini niteseke eti kisa mwalimu who told you?ukiiendekeza hii nchi wallah utakufa masikini unajiona!!......... Mi napenda kuwaambia nyie ndugu walimu msiwe wanyonge kiasi hicho ,msijidharau na wala msiwape nafasi watu kudharau ualimu wako maisha ni kupambana,kupanga na kuchagua!! ........... anyway naombeni niishie hapa (naandaa scheme of work loh hili nalo janga)..ntarudi kuwaambia kitu.....