Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,459
hapo ni kupigana na adui ndugu, unapigana kiroho na kimwili. tofautisha na adui aliyekupiga halafu ametulia haendelei kukupasue, na adui ambaye amekupiga pakauma na bado anakukimbiza anataka akumalize kabisa na hana hata shida ya kuomba msamaha ili muyamalize. hapo unachofanya ni kukimbia, kujihami na kushambulia.naona unalazimisha kulink vifungu na watu mashuhuri kwenye bibilia ili kujustfy KISASI. sasa vyeti ndio vitamsafisha.
Ushauri mtumishi wa Mungu haruhusiwi kutuhumiwa popote pale hata kama ni kwa lengo la kuuisaidia polisi.
Umesahau ni watumishi wa Mungu hawahawa walifuel chuki rwanda genocide.
Umewahi kujiuliza mtumishi Athanase Seromba wa rwanda kwa nini hadi kesho anatumikia kifungo cha maisha kwenye gereza la Akpro-Missérété benin.
VISASI viko sambamba na CHUKI, Kwa watu wenye ushawishi wanatakiwa kuwa makini na kauli zao au kupindisha maandiko for personal gains and protections.
Mkuu hapa hoja ni VISASI, Leo analipa kisasi kwa huyu, Hatujui kesho ataamka kulipa kisasi kwa nani, na nini itakuwa madhara ya muda mrefu na mfupi wa VISASI vyake.
Hilo fundisho la kisasi Halikuwa sawa hata kidogo, Na kama hoja ni vyeti, alisema kuna room ya kwenda mahakamani angefuata taratibu za nchi sio kutumia kanisa.