Kwenye nchi za wenzetu, it is true that a person is innocent until proven guilty, kwenye nchi zetu it is the opposite. Ni lini tutafika? Kwa nchi kama marekani mtu hawezi kukamatwa akawekwa ndani mpaka wawe na ushahidi wote, kwetu wakikuhisi tu ndani, ukipelekwa mahakamani kila siku ushahidi haujakamika. Bado nauliza tena hivi lini tutafikaaaaaa?