kuna gesti manzese..we ukishalipa na umeingia na mzigo
watu wengine wanakuja kulipa kushuhudia mambo..
wana matundu maalum....kazi kwenu lol
Umenikumbusha kitu...zamani wakati niko sekondari, fomu wani hadi fomu srii, mimi na washikaji tulikuwa na hiyo tabia ya kula chabo.
Yaani kama mshikaji akipata demu anatutonya sisi washikaji wengine halafu wakiingia geto sis tunaenda dirishani kula chabo. Hapo ujue tayari tulishaingia chumbani na kuliseti pazia kidizaini flani ili tuweze kula uhondo (I guess hivyo ndivyo tulivyokuwa tunawaza katika akili zetu kipindi hicho! Utoto bana...una mambo mengi sana)
kaka,tena wakitoka hapo nao ndio wanakuwa na stimu ya kufanya..kuna gesti manzese..we ukishalipa na umeingia na mzigo
watu wengine wanakuja kulipa kushuhudia mambo..
wana matundu maalum....kazi kwenu lol
Pole yanini. Jamaa anaadisia kinyume alikuwa yeye.
Umenikumbusha kitu...zamani wakati niko sekondari, fomu wani hadi fomu srii, mimi na washikaji tulikuwa na hiyo tabia ya kula chabo.
Yaani kama mshikaji akipata demu anatutonya sisi washikaji wengine halafu wakiingia geto sis tunaenda dirishani kula chabo. Hapo ujue tayari tulishaingia chumbani na kuliseti pazia kidizaini flani ili tuweze kula uhondo (I guess hivyo ndivyo tulivyokuwa tunawaza katika akili zetu kipindi hicho! Utoto bana...una mambo mengi sana)
Nakumbuka form III na IV tulikuwa tunakaririshwa definition moja ya tamthiliya sijaisahau mpaka kesho: "Literature is an artistic reflection of social reality." Yani mtu anatengeneza hekaya inayofanana fanana na yanayotokea kwenye jamii na ukisoma unajua kabisa hii ni kazi ya kisanii lakini unatuma ujumbe fulani mzito kama vile kukemea ku rape watoto n.k.Jana nilitoka Tanga nikachelewa kufika dar,home kinyerez ndani zaid nikaona nienda magomeni kagera karibu na Friends conner Hotel kuna mlolongo wa Nyumba za wageni.
Nikiwa ndani kwa kweli nilishindwa kulala:
nasikia sauti:-aaa mi staki,staki huko sijazoea,naumi.
Mmmh akili ikahama ghafla ikanibidi nickilize kwa makini sana,sauti ilikuwa kubwa ukizingatia ni chumba kinafuatia,mara sauti zikakata,ikaanza minong'ono ya
ku-make love huku nikiwa nackia kila kitu jambo lilofanya antena yangu isimame pasipo na TV wala Umeme.
Kadir muda ulivyozidi sauti zilikuwa zikiongezeka namimi hali kwangu inakuwa mbaya.
Mara yule bint akaanza bac sitaki tena nitazoea vibaya.
Ikanibidi nizuge kwenda kukaa nje maana hali kwngu ilishakuwa mbaya.
Baada ya nusu saa nikarudi nakutana na wapendanao hao wanakwenda kuonga.
Du yule binti ana umri usiozidi miaka 19 yule bwana ni zaidi ya 45 huku akiwa amejazia misuli kama mbeba vyuma.
Jamani hivi huyu ni zaidi ya mwanae tena walionesha kufahamiana muda mrefu.
Wakati nataka kufungua mlango namuona dada anatoka mlango wa tano kutoka kwangu akiwa na kataulo kafupi akikimbilia kwangu huku akiniomba aingie.
Mmmmh we dada vipi nikimwangali ni mtu mzima.
Vipi iweje ukimbie leba wakati unataka mtoto?
Nikafunga mlango wangu nikamwacha nje.
Du hizi guest za uswahilini.