GUARDIAN UK: January Makamba fighting corruption in Tanzania

George Smiley na wenzako mnaomsujudia January,

Ebu tuondoleeni upuuzi wenu humu kwenye watu wenye akili, sio watoto sisi. Guardian haiwezi kuwaruka eti Mawaziri wanaopambana na ufisadi/grand corruption mpaka nchini kwao (BAE Systems na Radar) kama Membe, au mawaziri wanaotikisa bad governance sio Tanzania tu bali Afrika, kufikia hatua ya Waziri Mkuu kwenda na maji kwa ufisadi (Lowassa), na vile vile wengine kulishwa sumu na wengine kuendelea kuwa katika hali isiyo salama (Mwakyembe, Sitta) , yote kwa kupigania walipa kodi wa Tanzania (sio jimbo), halafu eti Naibu Waziri (again full ministers kama hawa wanarukwa), na naibu waziri ndio anaonekana ni mpambanaji wa kweli, tena on petty corruption, talking about ubunifu wa kupunguza rushwa miongoni mwa watanzania wanaolima matunda? Please!!!.....
Acha upuuzi! Hakuna moral authority unapotaka kupambana na mwizi! Arguments zako zote zinaonyesha hate na jinsi ambavyo unashindwa kutoa njia mbadala za kupambana na tatizo ambalo kijana mwenzetu ameona kwamba njia hii itasaidia. We beba boksi. Don't hate.

At least all you can do kama hii inauma rudi home kama Field Marshall na wewe uonyeshe mchango wako which I still doubt maana kama hapo ulipo umeshindwa hata katika mada kama hii kuonyesha uwezo wako wa kufikiri.

I have read through nimeona maswali yanayostahili majibu, majibu yapo waziwazi. Kuna sababu chache za mtu kuamua kutoyaona. Au ulikuwa mke wake au alikuposa akakuacha. Let's discuss issues zenye tija kwa taifa letu like men! Basi!
 
Lakini ukweli ni kuwa BDC wamesema watatufa pesa kupitia kwa wafadhili mbali mbali. Lakini kwa sabau haijawa launched rasmi wanayo haki ya kusema kuhusu sources zao za income not only kwa stakeholders lakini pia kwa board yao.

Sasa wewe unashangaa hiyo usd milioni 10 mbona hushangai Nimrod Mkono kutumia usd milioni 80 kujenga shule kule Musoma?

Hujajibu swali.

Unaonyesha kuwa shallow kwa ku focus kwenye figures badala ya ku focus kwenye concept.

Maswali hayatokani na USD 10 million. Hata ingekuwa shilingi 10 million ambazo hata mie mtu mmoja naweza kutoa, maswali ambayo mtu yeyote anayetaka kujishughulisha na mpango huu atauliza hayabadilishwi na amount.

Mta hedge vipi against plunges? Mnatoa nini kama collateral?

Hujajibu maswali instead una dance around. For such a staunch Januarist, you are making the whole thing look even more suspicious.
 
Maswali kweni ni maswali 6 tuu:

Yalete

1. Kwa nini mnaupiga vita huu mpango wa maendeleo wa jimbo la Bumbuli?

Kama kuulizia mpango uta hedge vipi against stock market plunges na utatoa collateral gani ili kupata mkopo (ili tusiingie mikataba ya ki-Mangungo na kutoa collateral jimbo zima kwa USD 10 mill) then mpango mzima una matatizo makubwa kuliko wengine tulivyofikiri.

Sijajibiwa haya maswali mpaka sasa.

2. Kuna ubaya gani Mbunge wa Bumbuli kuanzisha njia nyepesi na ya bure ya mawasiliano na watu wa jimbo lake?

Hakuna ubaya.Ubaya unakuja mnapoanza kuitout hii habari ya text message, ambayo hata hatujui kama inaweza kusimama mahakamani kama ushahidi. Nimeuliza mtu akienda ofisini kwa Makamba na kutext kwamba kaombwa rushwa mtathibitishaje, sijapata jibu, mtazitumiaje hizi habari ambazo haziaminiki? What's the next step after pososting the entire country as corrupt? Sijapata jibu

3. Kuna ubaya gani shirika hili la maendeleo la Bumbuli kuwa na ambitions za ku raise hiyo usd milioni 10? haya kama wakishindwa kufikia lengo kuna ubaya gani wao kujaribu na kuwa na malendo?

Again, swali si kwamba kuna ubaya ku raise hizo hela. Swali ni wata hedge vipi against stock market plunges? Watatoa nini kama collateral?

4. Advocate Mkoni amespend pesa zake BINAFSI za kiasi cha USD 80million kujenga zile shule kule Musoma, kwa nini hamumlaumu?

Kwanza huna hakikia kama hajalaumiwa humu, hapa JF hata mungu analaumiwa nini advocate Mkono.

Pili hata akama hajalaumiwa, kutolaumiwa advocate Mkono hakuna uhusiano wowote na January Makamba.Inawezekana kabisa watu wameridhika na habari zake.

Tatu hata kama watu hawajaridhika na habari zake na hawajamlaumu. Two wrongs do not make a right. Kama advocate Mkono kafanya vibaya na hakusemwa hili halina maana Makamba akifanya vibaya asisemwe. Inawezekana watu washa poteza matumaini na advocate Mkono kiasi cha kuona kumzungumzia hakuna tija na ana represente old guards, kitu ambacho hawataki kipewe nafasi ya kujirudia kwa vijana.

Bottom line, usi confuse watu kwa kuondoa focus kutoka kwa Makamba na kujaribu kuipeleka kwa Mkono.

5. Kwa nini mnachuki sana wana Bumbuli wamekukoseeini nini?

Watu wanaoona genuine questions kama chuki washakunywa maji mengi sana ya chuki tangu watoto na wana tend ku simplify anything critical as "chuki". You better detox.

6. Kuna watu mnasema January ni Fisadi je Kuna mahakama au chombo chohcote cha sheria kilicho mtuhumu na kumhukumu beyond reasonable doubt kwa rushwa?

Tanzania hamna mahakama kwa watu wenye hela na majina bwana, kila mtu anajua hilo acha utani.
 
Maswali kweni ni maswali 6 tuu:

1. Kwa nini mnaupiga vita huu mpango wa maendeleo wa jimbo la Bumbuli?

2. Kuna ubaya gani Mbunge wa Bumbuli kuanzisha njia nyepesi na ya bure ya mawasiliano na watu wa jimbo lake?

3. Kuna ubaya gani shirika hili la maendeleo la Bumbuli kuwa na ambitions za ku raise hiyo usd milioni 10? haya kama wakishindwa kufikia lengo kuna ubaya gani wao kujaribu na kuwa na malendo?

4. Advocate Mkoni amespend pesa zake BINAFSI za kiasi cha USD 80million kujenga zile shule kule Musoma, kwa nini hamumlaumu?

5. Kwa nini mnachuki sana wana Bumbuli wamekukoseeini nini?

6. Kuna watu mnasema January ni Fisadi je Kuna mahakama au chombo chohcote cha sheria kilicho mtuhumu na kumhukumu beyond reasonable doubt kwa rushwa?
hizi sasa ni dharau za ulevi wa madaraka,yani unatudharau sisi humu kiasi hiki?

wapi IPS?

I doubt if you deserve any disscussion,kuwa makini usije ukadharauliwa moja kwa moja.

Ukileta mjadala hapa ukachangiwa ni heshima,sasa naona umejisahau na kusahau kuwa hii ni JF.

Usipojibu hili swali basi nakuacha na thread yako.
 
kweli

Hili nalo lipo na wao watakaa pembeni tuu kwani wataona haya ni mauza uza tuu... kundi hili halina muda kujadili watu bali wako bize kujadili issues based on facts na evidence

kundi hili halina muda na mambo ya innuendos na ma speculations. Wao watakwambia kama wana Bumbuli wameridhia na hiil jambo linaweza kuleta mabadiliko mazuri Bumbuli then why not?



No research no right to speak.
The Biased Brainwashing Commissariat aka BBC na credibility wapi na wapi? Let me school you boy, Kwa taarifa yako the BBC's agenda is identical to the Guardian's. The Guardian is run at a massive loss, because few people agree with its politics. It makes its money from hedge funds & similar investments that it condemns in its columns. The BBC uses journalists, named as being from the Guardian, to such a level that it can only be described as product placement. Unlike the Guardian, the small minds like you are forced to buy the BBC rubbish. It's politics are media liberal/ far left, representing 10% of the uk population of taxpaying age, & about 60% of "uni undergrads" who will grow out of such idiocy when they start work. And yes the types of you with colonial mentality whose world revolve around BBC World service. So please spare us the embarrassment



With a mindset like this...you come across as more of a GCSE than a PhD student. Your analytical skills are zero. How can you be so biased without having facts to make up your conclusion?



shayo.jpg




AwGeezNotThisAgain.jpg



So you are doing a Phd in what?



which university?



Mbunge wako ni nani?



HAHAHAHAHA...
Pereira hii ngoma ngumu sio yake unless aje na majina mengine. Itabidi nimtafute on Facebook



wa Kijijini kwenu



notagain.jpg




una maana wewe ni mswahili wa Dar?



sehem gani?


notagain.jpg



karibu na Posta au huku maeneo ya Chefs Pride?



hivi muda wote ulifkiri kutakuwa na serious discussion humu?

sasa mbona hamjibu?

I'm getting bored. Jmushi na wengine hawaonekani. sasa hapa ulingoni napigana na nani?



fdi.jpg




toka juzi nakwambia urudi shule usome hutaki unakuja hapa na maswali yako ya kitoto

kajipange upya

BuildingSocialBusiness1.jpg




naaaam

issue ndio hio. humu hakuna mwenye nia ya kujadili issues kilichobaki ni kubishana tuuuu wakichoka watarudi kwenye episodes zao za CHADEMA vs CCM

unfortunately hiyo ndio narrative ilipo humu



I debate with my equals, others like you I teach

so far najua hujawahi kusoma any major literary work kama hicho kitabu cha Dostoevsky na kwa kujua how shallow ulivyo umerukia kwenye hiyo jina la kitabu bila kujua maana naye



arguing.jpg




hakuna mwenye nia ya kujibu maswali humu.



pRapem.jpeg




GZFZes.jpeg




80474932.jpg

Wewe ndiye! No doubt about it!
 
Yalete



Kama kuulizia mpango uta hedge vipi against stock market plunges na utatoa collateral gani ili kupata mkopo (ili tusiingie mikataba ya ki-Mangungo na kutoa collateral jimbo zima kwa USD 10 mill) then mpango mzima una matatizo makubwa kuliko wengine tulivyofikiri.

Sijajibiwa haya maswali mpaka sasa.



Hakuna ubaya.Ubaya unakuja mnapoanza kuitout hii habari ya text message, ambayo hata hatujui kama inaweza kusimama mahakamani kama ushahidi. Nimeuliza mtu akienda ofisini kwa Makamba na kutext kwamba kaombwa rushwa mtathibitishaje, sijapata jibu, mtazitumiaje hizi habari ambazo haziaminiki? What's the next step after pososting the entire country as corrupt? Sijapata jibu



Again, swali si kwamba kuna ubaya ku raise hizo hela. Swali ni wata hedge vipi against stock market plunges? Watatoa nini kama collateral?



Kwanza huna hakikia kama hajalaumiwa humu, hapa JF hata mungu analaumiwa nini advocate Mkono.

Pili hata akama hajalaumiwa, kutolaumiwa advocate Mkono hakuna uhusiano wowote na January Makamba.Inawezekana kabisa watu wameridhika na habari zake.

Tatu hata kama watu hawajaridhika na habari zake na hawajamlaumu. Two wrongs do not make a right. Kama advocate Mkono kafanya vibaya na hakusemwa hili halina maana Makamba akifanya vibaya asisemwe. Inawezekana watu washa poteza matumaini na advocate Mkono kiasi cha kuona kumzungumzia hakuna tija na ana represente old guards, kitu ambacho hawataki kipewe nafasi ya kujirudia kwa vijana.

Bottom line, usi confuse watu kwa kuondoa focus kutoka kwa Makamba na kujaribu kuipeleka kwa Mkono.



Watu wanaoona genuine questions kama chuki washakunywa maji mengi sana ya chuki tangu watoto na wana tend ku simplify anything critical as "chuki". You better detox.



Tanzania hamna mahakama kwa watu wenye hela na majina bwana, kila mtu anajua hilo acha utani.



...Thank You for These Comrade. Take my Five.:yo::nod:
 

His most exciting innovation, launching next month, is a new text message anti-corruption campaign, a global naming-and-shaming project. "Only 6.9% of corruption cases are currently reported. We want to solve the problem. Almost everyone in Tanzania has a mobile." He sets the scene: "At a hospital you are asked for a bribe. You have a USP code, you enter the location and details of the bribe and send it to a web platform: it will appear as a dot on a map so everyone can see that at a certain hospital a bribe was asked for."


source: New Africa: the politician fighting corruption in Tanzania | World news | The Observer


www.hongo.crowdmap.com

www.ipaidabribe.or.ke

www.hatari.co.ke

www.bribespot.com

www.ipaidabribe.com






[video=vimeo;7838030]http://vimeo.com/7838030[/video]







featured_11143_805x0_proportion.jpg






Monitor-de-Corrupcio%CC%81n--500x426.png






featured_4452_805x0_proportion.jpg







featured_6410_805x0_proportion.jpg






featured_3849_805x0_proportion.jpg








featured_3967_805x0_proportion.jpg








featured_10641_805x0_proportion.jpg




 
Unless kama tunataka malaika toka CCM ambao kwa hakika hawapo
Lakini vinginevyo Mh J Makamba ni miongoni mwa wachache kutoka CCM wenye kuleta matumaini tofauti na viongozi wenzake wengi tu toka CCM

Makala hiyo inaweza ikawa na nia ya kumjenga kisiasa na hii ndio michezo ya siasa duniani kote kutafuta publicity, so hainishangazi wala kunishtua kama wengi wetu humu ndani walivyotaharuki

Well kwenye hili kila mtu anaweza kuwa na maoni yake. Sumjui huyu jamaa, kwa hiyo siwezi kumjudge, i do not hate him, i do not like him, i do not support him nor criticize him. Lakini inaonekana aliyeandikia hii article si mtanzania na hajui hali halisi ya Tanzania.

Sina hakina na jinsi January alivyoingia kwenye siasa, lakini siamini kama aliingia kutokana na kumbukumbu za uchungu wa maisha na kwa lengo la kuwasaidia watanzania. Naamini aliingia kutokana na influence, support and connections za baba yake. Kuna wakati Mh Makamba alisema wazi kuwa ni lazima mtoto wake awe waziri. Kwa hiyo unaweza kuona kuwa mwandishi hata hajui hali halisi ya siasa za kimwinyi za Tanzania.

So far there is nothing so significant tunaweza kutaja kuwa kinaonesha yeye ni mpigania maendeleo ya watu. Promising? Yes, because he is young and he has long time ahead of him. Time will tell.
 
Yale yale ya upumbavu wa vijana wa kitanzania, huyu hapa anatumia muda wake kuji makamba hana ukoo wake? hivi hii analysis very cheap inamsaidiaje kama sio kwenda kuchukua vijisenti huko, angalia kwanza analysis yenyewe ilivyo opinionated, badala ya kumsafisha bwana mdogo imezidi kumchafua, haya ya matatizo ya January asituambie sisi akaongee na wakina sinclair maana ndio wanayoyajua, ni sawa wanaoendelea kutuambia Chenge hakuiba kwenye Rada wanapigia punda gitaa, waende wakawaambie waingereza waliotuambia hii habari. Kijana hebu anza kujiuliza wewe ni nani katika dunia hii, na iweje watu waku reduce na wewe ukubali kwamba wewe si mtu wa maana katika ulimwengu huu kuliko wao. Angalia vijana wenzako nchi jirani wanafanya nini, kaone Kenya, Rwanda hata Burundi leo hii lugha ya vijana wao ni tofauti kabisa na hii yako ya kujikomba na kulamba toes za wakina January, je unafanya nini kukuwezesha kuishi? kama sio handovers za kazi kama hizi? watoto wako umewapangia kuishi vipi kwa mtindo huu? ama nao watakua kuwa watumishi wa wakina January? sina choyo wala husda, but let January fight his own war, after all he already has important people, not cramp like you, to fight this war for him
 
Back
Top Bottom