GSM na Yanga SC huu Uhuni ipo Siku utawagharimu na mtalaanika vibaya sana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,118
110,511
Kama kawaida yenu kila mkiona kuwa katika Timu fulani kuna Changamoto ambayo itawafanya mkicheza nao msishinde huwa mnatumia Nguvu ya Pesa na Fitina kwa msiyemtaka.

GSM na Yanga SC kwa kujua kuwa mnakaribia kucheza na Ihefu FC na mnaogopa kuwa Kocha Zubery Katwila ( mwana Simba SC) anaweza akawabania msishinde mmeamua Kumfitini ili afukuzwe na Kocha Mkuu sasa awe Juma Mwambusi ambaye ni mwana Yanga SC Mwenzenu na Mwanachama ili mshinde Kiurahisi.

Yana mwisho haya shauri zenu!!
 
Najitahidi nisichangie kwenye hizi mada zako za kipopoma, ila kuna wakati nashindwa kabisa kuvumilia huu upuuzi wako.

Ihefu Fc tangu ipande ligi kuu na kufanya usajili wa nguvu kupitia mwalimu wao Zubery Katwila, haijawahi kupata matokeo! Mechi zote nne walizocheza nyumbani na ugenini, walipoteza!!

Uongozi wa timu ya Ihefu ukaamua kumfukuza kocha, na kuajiri kocha mwingine ambaye ni Juma Mwambusi, kwa lengo la kurejesha matumaini ya timu kubakia ligi kuu!

Wewe unaleta porojo za kuihusisha Yanga na GSM, kana kwamba hiyo Ihefu Fc inamikiliwa na Yanga na GSM!! Ukiulizwa uweke ushahidi wa hizi porojo zako, huna!!

Aisee wewe ni zaidi ya janga!
 
Kwani Zuberi Katwila tangu akiwa mchezaji wa Mtibwa mpaka kua kocha wa Mtibwa na Sasa Ihefu, amewahi Ifunga Yanga marangapi? Maana isijekua unaongea vitu usivyo vijua.
Kwa Yanga ya Sasa hakuna ata kocha mmoja katika ligikuu Tanzania bara mwenye uhakika wa kupata point tatu Kwa Yanga.
 
Kama kawaida yenu kila mkiona kuwa katika Timu fulani kuna Changamoto ambayo itawafanya mkicheza nao msishinde huwa mnatumia Nguvu ya Pesa na Fitina kwa msiyemtaka.

GSM na Yanga SC kwa kujua kuwa mnakaribia kucheza na Ihefu FC na mnaogopa kuwa Kocha Zubery Katwila ( mwana Simba SC) anaweza akawabania msishinde mmeamua Kumfitini ili afukuzwe na Kocha Mkuu sasa awe Juma Mwambusi ambaye ni mwana Yanga SC Mwenzenu na Mwanachama ili mshinde Kiurahisi.

Yana mwisho haya shauri zenu!!
Hivi ihefu kwa kiwango gani ilichoonyesha cha kumzuia yanga hata kama kocha nabi angekabiziwa ingefungwa tu mkuu
kocha wao kafukuzwa kwa kutotimiza malengo ya club sio kutokuizuia yanga
 
Kama kawaida yenu kila mkiona kuwa katika Timu fulani kuna Changamoto ambayo itawafanya mkicheza nao msishinde huwa mnatumia Nguvu ya Pesa na Fitina kwa msiyemtaka.

GSM na Yanga SC kwa kujua kuwa mnakaribia kucheza na Ihefu FC na mnaogopa kuwa Kocha Zubery Katwila ( mwana Simba SC) anaweza akawabania msishinde mmeamua Kumfitini ili afukuzwe na Kocha Mkuu sasa awe Juma Mwambusi ambaye ni mwana Yanga SC Mwenzenu na Mwanachama ili mshinde Kiurahisi.

Yana mwisho haya shauri zenu!!
Ni yanga hii iliyo imwagilia simba 2 juzi juzi tu au unazungumzia yanga ipi
 
Ikiwa Mwanacha mwandamizi, Kiongozi mwandamizi, Aliyewahi kua Katibu wa Ma kocha mkoa wa DSM, Katibu wa mpito wa iliyokua FAT, Msomi wa Chuo kikuu Cha DSM, Mwana chama wa Simba tangu Sunderland Mwina Seifu Kaduguda, Simba wa Yuda.
Anakwambia ni rahisi Simba kuifunga Al Ahly Mabingwa mara 10 wa CAf champion league kuliko Kuifunga Yanga.
Wewe mchunga Ng'ombe uliye ifahamu Simba juzi una shutumu watu bila Sababu za Msingi!!
 
Kama kawaida yenu kila mkiona kuwa katika Timu fulani kuna Changamoto ambayo itawafanya mkicheza nao msishinde huwa mnatumia Nguvu ya Pesa na Fitina kwa msiyemtaka.

GSM na Yanga SC kwa kujua kuwa mnakaribia kucheza na Ihefu FC na mnaogopa kuwa Kocha Zubery Katwila ( mwana Simba SC) anaweza akawabania msishinde mmeamua Kumfitini ili afukuzwe na Kocha Mkuu sasa awe Juma Mwambusi ambaye ni mwana Yanga SC Mwenzenu na Mwanachama ili mshinde Kiurahisi.

Yana mwisho haya shauri zenu!!
Hivi wewe hii yanga ambayo haijafungwa kwa karibu miaka miwili,simba mmekua mkipigwa kama mmesimama kama ngoma mkiwa full mkoko,unategemea yanga aje amwogope ihefu timu inayoshika mkia?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Yanga mnatoa povu kubwa sana ,na mnajiona wakubwa sana baada ya kuifunga timu kubwa, Simba

Nataka niwakumbushe kuwa japo kuwa Simba imezifunga timu bingwa wa Caf msimu ulio pita yaani 20/21 na bingwa wa shirikisho msimu wa 21/22,lakini pamoja na kuzifunga timu hizi kubwa ,Simba haijawahi kujiona ni timu kubwa kuizizid lakini inajitahidi kupambana ili kukaribiana nazo ,japo imezidiwa kiuchumi na kimaendeleo.

Yanga toka iifunge Simba inajiona ni bonge la timu isiyo fungwa kirahisi,na hichi ndicho mashabiki wengi wa Yanga imewakaa kiakil.

Nataka kuwaambia wana yanga kuwa mpira hauko hivyo nyinyi kumfunga Zalan izo 5 na 4 zisiwafanye mjione mko juu sana kimpira nyinyi bado sana mko level ya chini sana .

Level alioko Simba mlie mfunga iko tofauti sana na nyie,mkitaka kuamini kuwa nyie niwakawaida angalieni jinsi mlivyo tumia nguvu nyingi kwenye mechi zidi ya Zalani.

Na ile siku ya mwananchi mlifungwa mbili bila na Vipers ya Uganda.

Lakini ukiwakuta yanga wanavyo isifia timu yao utadhani kanakwamba ndo timu bingwa wa mashindano ya Champion leage,embu jifunzeni kuwa na akiba ya maneno itafika kipindi upepo utabadilika na mambo yatakuwa magumu sana na apo ndo mtajua hamjui kitu.
 
Yanga mnatoa povu kubwa sana ,na mnajiona wakubwa sana baada ya kuifunga timu kubwa, Simba

Nataka niwakumbushe kuwa japo kuwa Simba imezifunga timu bingwa wa Caf msimu ulio pita yaani 20/21 na bingwa wa shirikisho msimu wa 21/22,lakini pamoja na kuzifunga timu hizi kubwa ,Simba haijawahi kujiona ni timu kubwa kuizizid lakini inajitahidi kupambana ili kukaribiana nazo ,japo imezidiwa kiuchumi na kimaendeleo.

Yanga toka iifunge Simba inajiona ni bonge la timu isiyo fungwa kirahisi,na hichi ndicho mashabiki wengi wa Yanga imewakaa kiakil.

Nataka kuwaambia wana yanga kuwa mpira hauko hivyo nyinyi kumfunga Zalan izo 5 na 4 zisiwafanye mjione mko juu sana kimpira nyinyi bado sana mko level ya chini sana .

Level alioko Simba mlie mfunga iko tofauti sana na nyie,mkitaka kuamini kuwa nyie niwakawaida angalieni jinsi mlivyo tumia nguvu nyingi kwenye mechi zidi ya Zalani.

Na ile siku ya mwananchi mlifungwa mbili bila na Vipers ya Uganda.

Lakini ukiwakuta yanga wanavyo isifia timu yao utadhani kanakwamba ndo timu bingwa wa mashindano ya Champion leage,embu jifunzeni kuwa na akiba ya maneno itafika kipindi upepo utabadilika na mambo yatakuwa magumu sana na apo ndo mtajua hamjui kitu.
Ona hili kolo nalo. Eti simba kaizidi Yanga. Kwahiyo simba kaizidi nini Yanga?
 
Najitahidi nisichangie kwenye hizi mada zako za kipopoma, ila kuna wakati nashindwa kabisa kuvumilia huu upuuzi wako.

Ihefu Fc tangu ipande ligi kuu na kufanya usajili wa nguvu kupitia mwalimu wao Zubery Katwila, haijawahi kupata matokeo! Mechi zote nne walizocheza nyumbani na ugenini, walipoteza!!

Uongozi wa timu ya Ihefu ukaamua kumfukuza kocha, na kuajiri kocha mwingine ambaye ni Juma Mwambusi, kwa lengo la kurejesha matumaini ya timu kubakia ligi kuu!

Wewe unaleta porojo za kuihusisha Yanga na GSM, kana kwamba hiyo Ihefu Fc inamikiliwa na Yanga na GSM!! Ukiulizwa uweke ushahidi wa hizi porojo zako, huna!!

Aisee wewe ni zaidi ya janga!
Jamaa anajidharirisha sana humu
 
Kadri siku zinavyozidi kwenda unazidi kuwehuka, ni vyema ukaweka wazi tatizo lako, mbona linatibika fresh tu
 
Yanga mnatoa povu kubwa sana ,na mnajiona wakubwa sana baada ya kuifunga timu kubwa, Simba

Nataka niwakumbushe kuwa japo kuwa Simba imezifunga timu bingwa wa Caf msimu ulio pita yaani 20/21 na bingwa wa shirikisho msimu wa 21/22,lakini pamoja na kuzifunga timu hizi kubwa ,Simba haijawahi kujiona ni timu kubwa kuizizid lakini inajitahidi kupambana ili kukaribiana nazo ,japo imezidiwa kiuchumi na kimaendeleo.

Yanga toka iifunge Simba inajiona ni bonge la timu isiyo fungwa kirahisi,na hichi ndicho mashabiki wengi wa Yanga imewakaa kiakil.

Nataka kuwaambia wana yanga kuwa mpira hauko hivyo nyinyi kumfunga Zalan izo 5 na 4 zisiwafanye mjione mko juu sana kimpira nyinyi bado sana mko level ya chini sana .

Level alioko Simba mlie mfunga iko tofauti sana na nyie,mkitaka kuamini kuwa nyie niwakawaida angalieni jinsi mlivyo tumia nguvu nyingi kwenye mechi zidi ya Zalani.

Na ile siku ya mwananchi mlifungwa mbili bila na Vipers ya Uganda.

Lakini ukiwakuta yanga wanavyo isifia timu yao utadhani kanakwamba ndo timu bingwa wa mashindano ya Champion leage,embu jifunzeni kuwa na akiba ya maneno itafika kipindi upepo utabadilika na mambo yatakuwa magumu sana na apo ndo mtajua hamjui kitu.
Article kubwa halafu upupu mtupu
 
Yanga toka iifunge Simba inajiona ni bonge la timu isiyo fungwa kirahisi,na hichi ndicho mashabiki wengi wa Yanga imewakaa kiakil.
Siku 507 sawa na mechi 42 bila kufungwa na bado unataka timu ijione ni rahisi kufungwa.....namba hazidanganyi
 
Back
Top Bottom