NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
May dear Lord bless u!!! Happy bday dear BJ....happy bday to uuuu.Ur 27??? Sooooooo young unatakiwa ukiingia hapa uanze na shikamoo baba NguliWapendwa,Namshukuru sana Mola kwa kuniwezesha kufika siku hii salama..leo nagonga 27 nikiwa na afya pia nguvu tele.Hakutakuwa na Bday party, inshallah mwaka mwingine tukijaliwa uzima.Nawapenda sana na tuendelee kuelimishana/kuchanganua uwanja huu huku tukilijenga Taifa letu kwa hali na mali.Baraka tele mjaaliwe katika maisha na majukumu yenu ya kila siku.Wa thati,BelindaJacob!!...BJ.....xoxoxoxo