Gregory Isaacs is no more

RIP rasta!...thau yu no more widas, ya preaching will last foreva, pc bwitcha!
 
Please let us know which was your favourite Gregory Isaacs...Mine was 'night nurse' obviously, 'Hot stepper', "overrule your objection"...Ohhh..i liked many of his songs!!!
 
Ntaandika zaidi baadaye juu ya huyu Mzee. RIP Gregory, tutakumiss sana. Asante kwa miaka mingi ya miziki yako Mizuri na yenye radha taaamu.



Kwangu mie, huu wimbo utabaki THE BEST kupita zote. Siku zote huwa unanikumbusha nikiwa Arusha na kijana mmoja aitwaye Peter Alexander ndiye aliyekuwa aki-supply miziki yote ya REGGAE pale chuoni. Kaka yake alikuwa na duka la miziki DEIRECT kutoka Jamaica na alikuwa akijitahidi sana kuwahi kuzipata ukilinganisha na miaka ileeeeee..... Kibao changu ni hiki chini:



Mkuu hilo ni bonge la reggae, linanikumbusha Mbowe Hotels & Co. LTD miaka ya 80's. Eeh bwana eh nakumbuka DJ Chris Phabby (The Lover).

RIP Greg.
 
Last edited by a moderator:
Please let us know which was your favourite Gregory Isaacs...Mine was 'night nurse' obviously, 'Hot stepper', "overrule your objection"...Ohhh..i liked many of his songs!!!

hush darling.....my number one song
stranger in town......kuna mstari naukubali sana pale anakuambia "i may not dress like in style as men in ur town do but i sure know wat to say i love u" huu mstari hata kama mtu kijuso au mtengwa anaweza akapata maconfidence akaingia katika kisiwa cha walamba lips na akang'oa matozi wasiamini kilichotekea....pure talent has really been lost!
 







Mwanamuziki wa Sweet Reggae wa siku nyingi, Gregory Isaacs , amefariki dunia nchini Uingereza muda mfupi uliyopita. Kwa mujibu wa taarifa fupi ya BBC iliyosikika jioni hii, mwanamuziki huyo amefariki hospitali alikokuwa anatibiwa. Nyimbo zilizompatia sifa mwanamuzki huyu ni nyingi na moja wapo ni Night Nurse ambayo unaweza kuisikiliza hapo juu na kukumbuka mambo yalivyokuwa miaka ya 80.


R.I.P jah...:amen:
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom