Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,712
Eiyer,...nimekupata mkuu,ila ndio uniambie ni kwanini huyo Regan alipona ingawa ni kwa maajabu....nafikiri hizi ni cincidence tu kiongozi wangu.
Coincedance?Wait a minute!Hebu fikiri vizuri!
Eiyer,...nimekupata mkuu,ila ndio uniambie ni kwanini huyo Regan alipona ingawa ni kwa maajabu....nafikiri hizi ni cincidence tu kiongozi wangu.
IGWE,mtafungwa,ukweli kuhusiana na vifo hivyo ni kuwa zipo hadithi nyingi ila ukweli ni ibada ya kishetani.Kwanza hawaipendi namba inayoishia na 0 kwa sababu Mungu aliitumia alipompa Musa amri 10,so wao wanakwenda against na Mungu,ndo maana wana amri 11 za shetani!Wanapofanya mauaji wanakua wanapinga kiongozi wa taifa lao kuchaguliwa mwaka wa Mungu,lakini pia wanakua wamemtoa kafara kwa kumwaga damu yake.Regan alipona kiajabu coz alitakiwa afe,Bush aliechaguliwa 2000 hakuuwawa coz familia yake ni wanachama wa Skull & Bones tangu babu yake Bush alikua anaitwa Prescot Bush ambae alikua gavana,ndo maana alipona lakini alitakwa badala yake atoe kafara akiwa madarakani ndo maana kadhia ya WTC ilitokea!Ilikua ni sehemu ya kafara hizo!
Asante. Baada ya kupata maelezo yako nimecheki kama kweli GW Bush na viongozi wengine maarufu wa Marekani ni wanachama wa Mafuvu na Mifupa e.g., Secret Societies SKULL & BONES REVEALED, CNN 2009 - YouTube . Kwa hiyo ina maana kwamba utawala wa marekani umejemgwa kwa misingi ya ushirikina? Na wakati huo huo wanatuambia "in God we trust". Sasa huyo mungu ni yupi kama si shetani...Unaweza kuona hata serikali ya Tz imesimamishwa kwenye msingi hiyohiyo...who knows?
Mkuu Eiyer
Kwa maelezo rahisi ni kwamba dunia inatumia kalenda yenye uwelekeo wa kipagani bila kujua au haijali?
Hili tukio la 9/11 linavyounganishwa na uwepo wa Mungu huwa sielewi na siamini.,kama Wamerekani ni wapagani kutokana na maelezo yako hapo juu inakuaje tena shambulio la upagani likafanyike katika ardhi ya Upagani? walitaka kuonyesha nini hasa? Au ni pigo toka kwa Mungu wa kweli?
Acheni hofu za kipuuzi kama hizi,..unajumlisha mara unagawa namba bila sababu ya msingi.....number is number_full stop.
namba si namba tafuta maarifa zaidi. hata katika vizazi vilivyopita namba kilikuwa kitu muhimu sana na cha kuheshimika kuna nguvu nyingi sana katika kujua siri ya namba ndio maana wajanja wanajua kuzitumia na kuificha elimu hiyo ili wafaidi wachache.
kwa hyo mnataka kumaanisha kwamba he(pope gregory) was the one of members of that secret society!?
Mkuu Eiyer
Kwa maelezo rahisi ni kwamba dunia inatumia kalenda yenye uwelekeo wa kipagani bila kujua au haijali?
Hili tukio la 9/11 linavyounganishwa na uwepo wa Mungu huwa sielewi na siamini.,kama Wamerekani ni wapagani kutokana na maelezo yako hapo juu inakuaje tena shambulio la upagani likafanyike katika ardhi ya Upagani? walitaka kuonyesha nini hasa? Au ni pigo toka kwa Mungu wa kweli?
kwa kusema in god we trust haimaanishi ni mungu huyu wote tumuaminie, yawezekana kabisa ni mungu wao fulani wanaomuamini yawezekana pia kuwa wanasema tu hivyo kuwapumbaza walio wengi.
Their god is Lucifer and they knw it!
Basi mungu wao(Lucifer)ana nguvu sana_maake kaiendeleza sana nchi yake(USA),sio kama nchi za kwetu kina yakhe na mungu wetu katuacha.
Basi mungu wao(Lucifer)ana nguvu sana_maake kaiendeleza sana nchi yake(USA),sio kama nchi za kwetu kina yakhe na mungu wetu katuacha.
Kuna utajiri kutoka kwa Lucifer,as well as maendeleo pia upo unaotoka kwa Mungu na kila upande una taratibu zake!Uchaguzi ni wako!
mkuu igwe,
shetani ana nguvu nyingi sana na pia anaweza kufanya maajabu kupita binadamu, ndio maana nguvu za shetani zitashindwa na za mungu peke yake, unakumbuka katika biblia shetani anaelezwa kujionesha kwa umbo la nyoka na kuongea na yesu na hata akampeleka juu ya kilima kumuonesha miji na milki aliyomwambia atampa? hivyo wamarekani wamechagua au bila kujua wengine kuwa wanaendeshwa kishetani shetani naye shetani anawapa mali nyingi lakini mali hiyo si ya kudumu, itawafanya wapoteze mengi zaidi.
sasa ukija kwetu kuna utata kidogo maana hatujijui mungu wetu wengine wanamcha mungu aliye juu wengine wanamcha mungu na miungu huoni tunampa mungu confussion?
si kama marekani walio wengi wanamcha shetani tena kwa kujua, wengine wanamcha shetani kwa kutojua bali kulazimishwa na hali iliyopo, hakuna taifa wananchi wake wamekuwa controled kama wamarekani.na hilo wamefanikiwa sana.
Mmmh ok,ujui usemalo labda unasoma na kuamini usichokifahamu mimi sikulaumu ila ndivyo unavyojua.Sio yeye tu,mapapa wote walikua member including benedict xvi,pamoja na kofia yao yenye maneno VICARVIS FIL DEI(sina uhakika kama nimepatia speling)pamoja na kanisa katoliki lote!
Sio yeye tu,mapapa wote walikua member including benedict xvi,pamoja na kofia yao yenye maneno VICARVIS FIL DEI(sina uhakika kama nimepatia speling)pamoja na kanisa katoliki lote!