Kwa graduate walioko National service naomba au yeyote mwenye kujua tujuzane nyie mmetumia njia gani kufika huko makambini maana usaili wa wilayani ni kwa darasa la saba tu mpka form six na sisi wengine tungependa kujiunga pia na National service
mkuu usaili wa form six na lasaba wilayani ushaanza???Kwa graduate walioko National service naomba au yeyote mwenye kujua tujuzane nyie mmetumia njia gani kufika huko makambini maana usaili wa wilayani ni kwa darasa la saba tu mpka form six na sisi wengine tungependa kujiunga pia na National service
itabidi utumie cheti cha form 6 kama ni usaili wa wilayani huna way out yaani jisahaulishe kabisa kama una bachelor labda mpaka baadae kwenye kuandikisha particulars baada ya kuripoti kwenye kambi za mafunzo. Ila kama una mtu JKT mwenye uwezo wa kukupa fomu ya JKT then huna haja ya kupitia hizo process zote
mkuu usaili wa form six na lasaba wilayani ushaanza???
Mkalenda bado mpka watoke wa mujibu wa sheria
Kiongoz naomba tujulishane hata kwa pm zikitoka na mm nazingojea kwa ham mkuu
Usijal nitakujuza tu unafani au ni six au four leaver kama unafani yani proffesional nadhan hiyo njia aliyo toa Askari wa Miguu itakufaa pia