GPA hazifai kutumika ktk kuajiri wahadhiri na wahadhiri wasaidizi

Kwahiyo vyuoni wanafunzi wapimwe vipi ufaulu?

Hapa kuna tatzo nahisi sio kwetu tu hata nchi za wenzetu.

Kuanzia ngazi ya chini tumeshindwa kuwatambua watu wenye uwezo na tumebase kwenye makaratasi.

Mitihani ni mizuri kupima uelewa wa wanafunzi lakin inahitaji supervision ya kila siku kumtambua aliyebora.

Mfano mtu ni aibu kwa wanafunzi aliyesoma udaktari mpaka akamaliza masomo na akachemka katika matibabu ya kawaida tu ie routine. Hii inaonyesha mwanafunzi huyu hakuwa na supervision nzur wakati akihudhuria clinical rotations

Mfano mzuri kuna mwalimu mmoja wa muhimbili anakariri sana na ukimuuliza swali la mnyumbuliko hawezi kulihimili

Mwanafunzi wa kada ya maabara ya magonjwa ya binadamu unamaliza mpaka una graduate huwezi hata kutafuta field kwenye microscope nia aibu.

Yote hayo yamesababishwa na elimu zetu kubase kwenye mitihani zaid ya kwenye makaratasi kuliko competency assessment

Tuwe na utaratibu wa vyuo na shule competency assessment kuanzia chini mpaka juu naamin.
 
nakumbuka nilipokua nasoma shahada yangu ya ualimu, Dokta mmoja anaitwa Dokta Fidelis Mgimwa alisema namnumkuu "kuna wahitimu wana A inayo reflect C na kuna wengne wengi wana C inayo reflect A" pia akasema vyuo na taasis mbalimbal zinakosea zinapoajiri kwa kigezo cha GPA kubwa, wakiamin kuwa ndio bora katika perfomance. M namuunga mkono 100% kwa kuwa kuna watu nmewashuhudia wana 2.3, 2.5, 2.7, 3.2. 3.0, na wanapaform vizuri na ni competent. Na ndomana avarage GPA ya selkar n 1.8. Kama watakuja na kigezo cha 3.8 itakuwa ni mbinu tu yakuwapunguzia vgezo wahitimu ili wasiwaajiri, selkari itoe tamko tu, kuwa nafasi za ajira ni chache mno tutaajiri wachache na sio kutoa vigezo uchwara visivokuwa na mana wala tija.
 
Ngoja niendelee kuishi maisha yangu na GPA yangu ya 3.0 udsm. Sitajal ccm wala nani nitakufa nae akiniingilia maisha yangu.
 
Warembo wengi wajanja sana , unaweza ukazani wanapoteza mda kumbe mtindo wao wa usomaji unawapa wigo mkubw wa kujua mambo mengi kuliko vijana wa kiume. Hata discussion zao za masomo ni kijanja sana wewe unasoma kama uko firm 4 kumbe uko chuo huwezi kufanya vzr
 
..kwenye Human resources kipengele cha kufanya recruitment kila kigezo utachachotumia kina faida na hasara kwaio ni mtu kuchagua either its perfomance anataka kuchukua or not generally hamna kigezo kilicho perfect
 
Marks za somo moja zina athali kwa GPA.PILI, nakuomba soma analysis ya article yote. Usijenge hoja kwa kukaa kwenye sentensi moja.
Angejua jinsi GPA kubwa inavyopatikana sidhani kama angeshabikia matumizi ya hiko kitu katika kupata wahadhiri.
 
Nadhani mantiki ya mtoa post nikutaka kuonyesha GPA isitumike kama kigezo kikuu cha kupata wadhili ila njia nyingine zitumike pia
Rudia kusoma kujua GPA inapatikana vipi!! Lecturer mmoja hawezi kutoa overall ya GPA ya mwanafunzi!
 
GPA sio kigezo cha kumfanya Mwananchi kuajiriwa... Hapo nakuunga mkono Asilimia 100 waache kusingizia. GPA Bhana. Iwe kama Zamani tu.
 
Mtu anafananisha GPA za SAUT, TEKU, SEKUKO, RUCO vS government college. Government usimamizi ni mkali wakati Vyuo vya private hutoa GPA za Bwelele ili waendelee kupata wanafunzi wengi/commercial education. Mtu aliyetoka na GPA ya 2.1 SUA anauwezo mkubwa wa kupambanua mambo kuliko aliyetoka na GPA ya 3.9 TEKU
Kweli kabisa, vyuo vya private ni janga. Nilikua nafundisha chuo kimoja cha ptivate yani ni shiiida!! Wanafunzi wakifrli sana mwalimu unaambiwa uwaangalie, mnaambiwa m-standardize kwa kuwapa marks hadi 10 kila mwanafunzi. Yani hadi roho inauma.jitu limejibu utumbo lilipaswa lirudie course linapewa marks 10 za bure linapita. Vyuo vya private ni janga kubwa sana. Wanabembeleza wanafunzi hivyo kuwafaulisha ndo kinga yao. Yani mwanafunzi wa diploma na certificate ni wajiiiiiinga hadi unaweza kaa chini ulie.
 
Acha kutudanganya Wewe. Nimesoma SAUT na interview huwa nafanya na watu wa UDSM ni kawaida na hawana kipya zaidi cha kusema kuwa ni unique students. Tatizo la elimu ya juu ni kubwa sana na Mimi niliyesoma SAUT sioni tofauti na mwanafunzi wa UDSM. Sikiliza competence based ndo kitu cha msingi zaidi na wala si chuo. Sijui kwa vyuo vingine but kwangu I believe chuo changu kiliniandaa vyema kupambana sehemu yoyote.
Tofauti kubwa sana ipo rafiki. Nfo maana kwa mfano UDSM au Mzumbe cut point ya kusoma law ni division One, ila Saut Ruco eanachukua hadi division three. Tofauti ipo kubwa sana dear
 
Mimi sijaelewa kitu, hivi hao wahadhiri wanaajiriwa moja kwa moja kwa kigezo cha G.P.A au G.P.A nikigezo cha kuwa shortlisted tu?

Huwa hakuna interviews and other screening means? Kama huwa vipo basi sijaona ubaya wa GPA ya 3.8 kuwa ni kigezo muhimu kwasababu kama ni mtupu utaumbuka tu mbele ya safari
 
fatilia gpa za wahitimu wa chuo cha makumila utapata majib ya sifa GPA lkn pia kunawahtm wa UDSM weng wao n hewa kabisa! tatizo wadau wa elimu hawajajua wap kosa lilipo au walipokosea.vyuo ving hasa udsm kama ndio chuo mama walichokosea n kile kitendo cha mfumo wa maswali wanayo2nga,maswali yanayo2ngwa n maswali yanayowajenga wanafunz kujitune ktk dhana ya kukalili tofauti na competence based ambapo maswal meng yangekuwa ya kujieleza kuliko kuchagua hapo wangepata wahtmu wazur na kujua yup yuko poa! malecturer wanakimbilia ku2nga maswali ya kuchagua kama ndio njia rahc ktk kusahiisha!
 
Research ifanyike ili tupate utaratibu mwingine wa kumpima mwanafunzi. Tujiongeze. Hatuwezabaki kwenye utaratibu wenye mashaka makubwa na hatari kwa ustawi wa elimu, eti kwasababu hakuna utaratibu mwingine. We must come up with big ideas. Utaratibu wa GPA hauna uhalisia. Unatumika kuengua wengine ambao ni wazuri zaidi.
Nilisha wauliza mnataka utaratibu gani utumike?
e
 
Research ifanyike ili tupate utaratibu mwingine wa kumpima mwanafunzi. Tujiongeze. Hatuwezabaki kwenye utaratibu wenye mashaka makubwa na hatari kwa ustawi wa elimu, eti kwasababu hakuna utaratibu mwingine. We must come up with big ideas. Utaratibu wa GPA hauna uhalisia. Unatumika kuengua wengine ambao ni wazuri zaidi.
e
Sawa mkuu
 
Mtu anafananisha GPA za SAUT, TEKU, SEKUKO, RUCO vS government college. Government usimamizi ni mkali wakati Vyuo vya private hutoa GPA za Bwelele ili waendelee kupata wanafunzi wengi/commercial education. Mtu aliyetoka na GPA ya 2.1 SUA anauwezo mkubwa wa kupambanua mambo kuliko aliyetoka na GPA ya 3.9 TEKU
Pole.
 
Mfumo wa GPA Ni mzuri na ndo kipimo cha kumuelewa mwalimu

Ila Vyuo vya Serikali Mara nyingi mwalimu ambaye hatoi A ni Sifa hakuna mwalimu wa kuhofia kibarua chake kama private
 
Back
Top Bottom